Mnafiki Kafulila anayeelekea kufa kisiasa?

wabusara

Member
Dec 5, 2011
11
0
Hivi sasa anahaha kisiasa kwa kutafuta huruma kutoka wananchi akidhani nccr ni mafala. Nccr wanadai kafulila kalikoroga na atalinywa kwelikweli, huenda kilchomfanya tumfukuze chadema kikamkuta nccr. Tulipokuwa tunamshughulikia ndani ya cdm jamii ilituona tunamuonea na alipotimkia nccr waliona wamepata shujaa kumbe wamepata tapeli wa kisiasa yaani mtu wa kuchochea migogoro na kibaraka wa ccm. Mimi ninawaambia kafulila ni ccm na tapeli wa kisiasa ndiyo maana majuzi mwanaharakati mmoja hapa JF katueleza jinsi alivyomsifia KIKWETE huko kigoma kuwa ndiye RAIS bora,je,hivi JK ni rais bora hadi asifiwe na mtu anayejiita ni mpinzani? Kweli kafulila ni mamluki wa ccm, kama mbatia ni ccm kwa sababu ya hotuba za kusifia serikali basi na kafulila ni ccm. Tunataka kafulila utueleze kwa nini tusikuite CCM "A" kwa kosa la kutusaliti watanzania kwa kumsifia KIKWETE kuwa ni Rais bora huku unajua watanzania hatumkubali JK? Toa hoja iwapo wewe siyo ccm, Vile vile Tundu Lisu ktk hotuba yake alidai kuwa kafulila alikuwa miongoni mwa VIBARAKA WA SPIKA aliowatuma kwenda kwenye kamati ya bunge ya katiba na sheria Kuhakikisha mswada wa kijinga wa mabadiliko ya katiba unapita, alikuwa kafulila,shibuda,hamadi Rashidi wa CUF nk. Atueleze ilikuwaje akubali kutusaliti na kuwa na mawazo ya ccm? Taarifa zimeeleza kuwa hata kutoka kwake nje na CHADEMA ilikuwa ni kutaka kujiepusha na kashfa ya UKIBARAKA wa ccm ktk mchakato huo wa katiba mpya, na Ndiyo maana Mh. MACHALI aliamua kubaki ndani ili atoe tamko la kutounga mswada wa kijinga wa mabadiliko ya katiba mpya na ndiyo maana baada ya KUICHAPA SERIKALI YA CCM KTK KUCHANGIA MSWADA HUO ALITOKA NJE, msimamo wa m,achali ulikuwa busara kuliko wa kibaraka wa ccm KAFULILA wa kujifanya anatoka na chadema huku akijua kuwa tayari chadema walikuwa wameshatoa tamko lao na hivyo ilikuwa ni zamu ya nccr kutoa msimamo wao kama machali alivyofanya na Mh. zaituni buyogera . Hakika MACHALI NA bUYOGERA WALIONESHA UKOMAVU WA KISIASA kwa kutoa msimamo wa chama chao na kisha kutoka nje kama Chadema walivyofanya baada ya LIsu kutoa msimamo wao chadema mzuri na kisha kutoka nje. Ilikuwa ni ujinga kwa kafulila kutoka nje chini ya msimamo wa chama kingine, aige kwa Machali na Buyogera walioamua kubaki na kutoa msimamo wa CHAMA CHAO nccr. Japokuwa mimi nikipenda chadema lakini katika hili naungana na Machali kwa kuamua kubaki bungeni na kutoa msimamo wa chama chake, Kafulila hakukitendea haki chama chake, hata hivyo inaonesha nccr kuna demokrasia ya kweli kwa sababu hatusikia kuwa wamemchukulia hatua za kinidhamu Kafulila na MKOSAMALI kwa kuamua kutoka nje chini ya mwamvuli wa cdm, ingekuwa ni vyama vingine kama huku kwetu CDM angehojiwa kwa nini ametoka nje kwa mwamvuli wa chama kingine. HONGERA nccr kwa kuwa na Demokrasia ya kweli, mnatoa uhuru wa kweli kwa viongozi wenu, nitawashauri hata makamanda wetu wa CDM kuiga hilo japo kuna mahali tunatofautiana kisiasa.
Mkiweza kumshughurikaia Kafulila kwa kumchukulia hatua za utovu wa nidhamu mshughurikieni, huyo ni kirusi kibaya sana. Chadema hatukuwa wajinga kumshughurikia, tena asijifanye kutueleza kuwa anamtetea HALIMA mdee katika kesi iliyofunguyliwa na mbatia, japo inasikitisha kwa mbatia kumshtaki mdee. Lakini ieleweke kuwa nccr ni chama kingine kabisa, hivyo hakiwezi kuingiliwa uhuru wake na chama au mtu mwingine. KWELI MDEE tunampenda sana kwa upambanaji but haipaswi kumuacha anapovunja sheria, ni haki ya kila mtu kuamua amshtaki mwenzake au aache.Hata hivyo taarifa zinaeleza kutoka ndania ya nccr kuwa KAFULILA ni miongoni mwa viongozi wa nccr walioshauri Mbatia afungue kesi hiyo na kumtisha mbatia kuwa asipofungua kesi hiyo dhidi ya mdee basi atakuwa ni CCM "b" kwelikweli Kama alivyotuhumiwa na Mdee. Kwa hiyo Mabtia kafungua kesi dhidi ya mdee baada ya kushauriwa na Kafulila, Hivyo mchawi mwingine wa mdee ni Kafulila katika kesi inayomkabili. Huyu sisimizi hafai, nccr fukuzeni huyo mtu, anajifanya kuwa naipenda chadema wakati ni yeye kafulila laiyewahi pia kusema kuwa CDM ni chama cha wajasiliamali wa kisiasa manzese na hata ndani ya bunge amekuwa akijifanya kutaka kupata nafasi sawa na kamanda mbowe huku akijua kuwa mbowe ni kiongozi mkuu wa upinzani bungeni na hivyo ana haki kama waziri mkuu hivi, CDM tukumbuke kuwa kafulila aliwahi kuumbuliwa na JENISTA MUHAGAMA kwa kuandika ki memo kuwa kiti cha spika kinampendlea mbowe kwa kumpa nafasi ya kuchangia bungeni. Wapi na wapi kafulila akaipend CDM, lakini pia alishawahi kudai kuwa mbowe anamuwinda, wapi na lini kafulila akamjali mdee na CDM. Jamaa kinyonga kwelio, hafai kusikilizwa ni mzushi tu, Nasisitiza kuwa Mh. MACHALI AENDELEE KUSHUGHULIKA KAFULILA KWA KUMKOSEA ADABU mBATIA, HATA KAMA MBATIA ANA MAKOSA , SIYO SAHIHI KUMUONDOA MADARAKANI KWA STYLE HIYO YA sisimizi Kafulila. Atujibu maswali yote kuhusu u CCM WAKE kafulila, anamsifia KIKWETE kuwa rais bora huku akijua kuwa wanaharakati hatumkubali kabisa . Jamaa jinga kwelikweli
 
siasa za mbongo kazi kati ya kafulila na Mbatia nani kibaraka wa ccm au utofauti wao ni mwingine ccm c na mwingine ni ccm a...
 
Ushauri wangu,watu wajibu hoja siyo kuwa wabusara amengia jana. Unaanisha nisieleze kile ninachokifahamu, au unataka nifikiri sawasawa na wewe uliyeeleza uwa nimeingia jana? haiwezekani Director 1, jibu hoja na kama huelewi kama kafulila ni ccm A basi uelewe tangu leo hii. Ni mnafiki katika mambo mbalimbali,nasisitiza hilo. Inaonesha kakutuma, kamweleze wabusara anasisitiza kuwa kwa taarifa zilizopo ni kibaraka wa ccm
 
Karibu wa busara naona unakaribia kutimiza masaa 24 jf.

Punguza povu ili busara zako zionekane,kwanza mlikuwa mnapiga kinywaji wapi nyie na kafulila?au alikataa kulipa bili?

kuna maneno ya kweli kwenye hoja yako ila ulivyokuja na hasira tunakushtukia mna ugomvi kwa sababu miaka imepita toka alipomsifia rais,na inaonesha unamfahamu vizuri huyu jamaa ila kwa sasa hamuelewani.

nakushauri kaa chini tulia subiri hangover zipungue ili ujipange kwa busara zaidi kwa sababu hata mimi kafulila nilishamshtukia siku nyingi.
 
Hapa kuna kitu kinanitatiza kidogo,Umejitambulisha kuwa wewe ni CDM,wakati huohuo ukijustify kuwa CDM ndio maana mlimfukuza, wakati huohuo ukionyesha namna anavyomsaliti Mdee,wakati huohuo ukiipongeza NCCR.napata wakati mgumu naona kama wewe ni Magamba unajaribu kuichonganisha CDM na NCCR?Ingekua ungeileta habari yako kama taarifa ya tathmini yako lakini sidhani ni sawa hivi ulivyoiweka.
 
Kwani ulitaka Kafulila afanye kama unavofikiri wewe, yeye kumsifia Raisi ina maana kuna kile alichokiona kwa Raisi kama wewe hujaona kama wengi ambavyo hatujaona basi tusimwingilie Kafulula, hou ni mtazamo wa mtu...!! Wewe sifia tu Kafulila, hata ukitaka kusifia Mangeleja yasifie tu!!!
 
Hivi sasa anahaha kisiasa kwa kutafuta huruma kutoka wananchi akidhani nccr ni mafala. Nccr wanadai kafulila kalikoroga na atalinywa kwelikweli, huenda kilchomfanya tumfukuze chadema kikamkuta nccr. Tulipokuwa tunamshughulikia ndani ya cdm jamii ilituona tunamuonea na alipotimkia nccr waliona wamepata shujaa kumbe wamepata tapeli wa kisiasa yaani mtu wa kuchochea migogoro na kibaraka wa ccm. Mimi ninawaambia kafulila ni ccm na tapeli wa kisiasa ndiyo maana majuzi mwanaharakati mmoja hapa JF katueleza jinsi alivyomsifia KIKWETE huko kigoma kuwa ndiye RAIS bora,je,hivi JK ni rais bora hadi asifiwe na mtu anayejiita ni mpinzani? Kweli kafulila ni mamluki wa ccm, kama mbatia ni ccm kwa sababu ya hotuba za kusifia serikali basi na kafulila ni ccm. Tunataka kafulila utueleze kwa nini tusikuite CCM "A" kwa kosa la kutusaliti watanzania kwa kumsifia KIKWETE kuwa ni Rais bora huku unajua watanzania hatumkubali JK? Toa hoja iwapo wewe siyo ccm, Vile vile Tundu Lisu ktk hotuba yake alidai kuwa kafulila alikuwa miongoni mwa VIBARAKA WA SPIKA aliowatuma kwenda kwenye kamati ya bunge ya katiba na sheria Kuhakikisha mswada wa kijinga wa mabadiliko ya katiba unapita, alikuwa kafulila,shibuda,hamadi Rashidi wa CUF nk. Atueleze ilikuwaje akubali kutusaliti na kuwa na mawazo ya ccm? Taarifa zimeeleza kuwa hata kutoka kwake nje na CHADEMA ilikuwa ni kutaka kujiepusha na kashfa ya UKIBARAKA wa ccm ktk mchakato huo wa katiba mpya, na Ndiyo maana Mh. MACHALI aliamua kubaki ndani ili atoe tamko la kutounga mswada wa kijinga wa mabadiliko ya katiba mpya na ndiyo maana baada ya KUICHAPA SERIKALI YA CCM KTK KUCHANGIA MSWADA HUO ALITOKA NJE, msimamo wa m,achali ulikuwa busara kuliko wa kibaraka wa ccm KAFULILA wa kujifanya anatoka na chadema huku akijua kuwa tayari chadema walikuwa wameshatoa tamko lao na hivyo ilikuwa ni zamu ya nccr kutoa msimamo wao kama machali alivyofanya na Mh. zaituni buyogera . Hakika MACHALI NA bUYOGERA WALIONESHA UKOMAVU WA KISIASA kwa kutoa msimamo wa chama chao na kisha kutoka nje kama Chadema walivyofanya baada ya LIsu kutoa msimamo wao chadema mzuri na kisha kutoka nje. Ilikuwa ni ujinga kwa kafulila kutoka nje chini ya msimamo wa chama kingine, aige kwa Machali na Buyogera walioamua kubaki na kutoa msimamo wa CHAMA CHAO nccr. Japokuwa mimi nikipenda chadema lakini katika hili naungana na Machali kwa kuamua kubaki bungeni na kutoa msimamo wa chama chake, Kafulila hakukitendea haki chama chake, hata hivyo inaonesha nccr kuna demokrasia ya kweli kwa sababu hatusikia kuwa wamemchukulia hatua za kinidhamu Kafulila na MKOSAMALI kwa kuamua kutoka nje chini ya mwamvuli wa cdm, ingekuwa ni vyama vingine kama huku kwetu CDM angehojiwa kwa nini ametoka nje kwa mwamvuli wa chama kingine. HONGERA nccr kwa kuwa na Demokrasia ya kweli, mnatoa uhuru wa kweli kwa viongozi wenu, nitawashauri hata makamanda wetu wa CDM kuiga hilo japo kuna mahali tunatofautiana kisiasa.
Mkiweza kumshughurikaia Kafulila kwa kumchukulia hatua za utovu wa nidhamu mshughurikieni, huyo ni kirusi kibaya sana. Chadema hatukuwa wajinga kumshughurikia, tena asijifanye kutueleza kuwa anamtetea HALIMA mdee katika kesi iliyofunguyliwa na mbatia, japo inasikitisha kwa mbatia kumshtaki mdee. Lakini ieleweke kuwa nccr ni chama kingine kabisa, hivyo hakiwezi kuingiliwa uhuru wake na chama au mtu mwingine. KWELI MDEE tunampenda sana kwa upambanaji but haipaswi kumuacha anapovunja sheria, ni haki ya kila mtu kuamua amshtaki mwenzake au aache.Hata hivyo taarifa zinaeleza kutoka ndania ya nccr kuwa KAFULILA ni miongoni mwa viongozi wa nccr walioshauri Mbatia afungue kesi hiyo na kumtisha mbatia kuwa asipofungua kesi hiyo dhidi ya mdee basi atakuwa ni CCM "b" kwelikweli Kama alivyotuhumiwa na Mdee. Kwa hiyo Mabtia kafungua kesi dhidi ya mdee baada ya kushauriwa na Kafulila, Hivyo mchawi mwingine wa mdee ni Kafulila katika kesi inayomkabili. Huyu sisimizi hafai, nccr fukuzeni huyo mtu, anajifanya kuwa naipenda chadema wakati ni yeye kafulila laiyewahi pia kusema kuwa CDM ni chama cha wajasiliamali wa kisiasa manzese na hata ndani ya bunge amekuwa akijifanya kutaka kupata nafasi sawa na kamanda mbowe huku akijua kuwa mbowe ni kiongozi mkuu wa upinzani bungeni na hivyo ana haki kama waziri mkuu hivi, CDM tukumbuke kuwa kafulila aliwahi kuumbuliwa na JENISTA MUHAGAMA kwa kuandika ki memo kuwa kiti cha spika kinampendlea mbowe kwa kumpa nafasi ya kuchangia bungeni. Wapi na wapi kafulila akaipend CDM, lakini pia alishawahi kudai kuwa mbowe anamuwinda, wapi na lini kafulila akamjali mdee na CDM. Jamaa kinyonga kwelio, hafai kusikilizwa ni mzushi tu, Nasisitiza kuwa Mh. MACHALI AENDELEE KUSHUGHULIKA KAFULILA KWA KUMKOSEA ADABU mBATIA, HATA KAMA MBATIA ANA MAKOSA , SIYO SAHIHI KUMUONDOA MADARAKANI KWA STYLE HIYO YA sisimizi Kafulila. Atujibu maswali yote kuhusu u CCM WAKE kafulila, anamsifia KIKWETE kuwa rais bora huku akijua kuwa wanaharakati hatumkubali kabisa . Jamaa jinga kwelikweli
Nimesoma habari yako lakini nikaogopa kukupa majibu baada ya kugundua umejiunga jana kwa lengo la Kumutetea Jemu Mbatia huku ukijifanya ni muumini wa CHADEMA!!!
Unakumbuka Petrol alimukana Yesu lakini akasindwa kuthibisha kwa kuwa hata hawa kusema kwake kulikuwa kunamshitaki!!!
Lugha yako wewe haionyeshi kuwa upo CHDEMA na huna sifa ya kuwa CHADEMA kama huwezi kujua madhara ya Jemus Mbatia kwa CHEDEMA!!!
MBOWE hataki kusikia kabisa habari za Mbatia na amewakataa wabunge wa NCCR mageuzi kwenye kambi ya Upinzani kwa Sababu ya Mbatia!!!!

Pia Ni Kwa nini Wabunge wa NCCR wametofautiana katika Suala la Kususia Mjadala wa Mswaada??
Ni Kwa nini Mh Agripina na Mh. Moses walibaki Bungeni kuungana na CCM kujadili Mswaada wakati wabunge wengine wanatoka kuunga mkono Kambi ya Upinzani??

Kwa nini Mbowe hamwiti Mbatia kama mwenyekiti kujadili suala la Mswaada Wakati wote wameupinga??
Jemis Mbatia amefanya kazi kubwa sana kujenga matawi Kawe kuliko hata CCM na amefanya kazi kubwa kufanya siasa mikoani hadi kupata Wabunge 4 , je unajua fedha hizo alipata wapi wakati NCCR haina wafadhiri wanao onekana??

Hashimu Rungwe aligomea Urais na ana uwezo kifedha lakini sasa Mbatia hamupendi kwa sababu katangaza kugombea nafasi ya Uenyekiti!!!
Mbatia alimwambia Hashimu Rungwe asishambulie mgombea wa CCM ila mgomea wa Chadema , muulize Mbatia ni kwa nini anaitumikia CCM???
 
Hapa kuna kitu kinanitatiza kidogo,Umejitambulisha kuwa wewe ni CDM,wakati huohuo ukijustify kuwa CDM ndio maana mlimfukuza, wakati huohuo ukionyesha namna anavyomsaliti Mdee,wakati huohuo ukiipongeza NCCR.napata wakati mgumu naona kama wewe ni Magamba unajaribu kuichonganisha CDM na NCCR?Ingekua ungeileta habari yako kama taarifa ya tathmini yako lakini sidhani ni sawa hivi ulivyoiweka.
Nimefanya uchunguzi wa Kina huyu ni zao la Jemis Mbatia na amejiunga jana baada ya Kambi yao kupata Shida jana!!!

Kundi hili la Mbatia ni pamoja na Kuwapeleka Wabunge wanao mtii (Mh Moses na Bi agripina) ambapo wamekuwa wanatembea kuwahonga wajumbe wamukubali Mbatia.
Juzi kundi hilo lilikuwa Dodoma na taarifa za Mbeya zinaonyesha kuwa Wamekwama kabisa!!
 
Jamus mbatia,achia ngazi,kwan uenyekiti ni hewa kiasi ukikosa hauwez kuishi?
 
Hivi sasa anahaha kisiasa kwa kutafuta huruma kutoka wananchi akidhani nccr ni mafala. Nccr wanadai kafulila kalikoroga na atalinywa kwelikweli, huenda kilchomfanya tumfukuze chadema kikamkuta nccr. Tulipokuwa tunamshughulikia ndani ya cdm jamii ilituona tunamuonea na alipotimkia nccr waliona wamepata shujaa kumbe wamepata tapeli wa kisiasa yaani mtu wa kuchochea migogoro na kibaraka wa ccm. Mimi ninawaambia kafulila ni ccm na tapeli wa kisiasa ndiyo maana majuzi mwanaharakati mmoja hapa JF katueleza jinsi alivyomsifia KIKWETE huko kigoma kuwa ndiye RAIS bora,je,hivi JK ni rais bora hadi asifiwe na mtu anayejiita ni mpinzani? Kweli kafulila ni mamluki wa ccm, kama mbatia ni ccm kwa sababu ya hotuba za kusifia serikali basi na kafulila ni ccm. Tunataka kafulila utueleze kwa nini tusikuite CCM "A" kwa kosa la kutusaliti watanzania kwa kumsifia KIKWETE kuwa ni Rais bora huku unajua watanzania hatumkubali JK? Toa hoja iwapo wewe siyo ccm, Vile vile Tundu Lisu ktk hotuba yake alidai kuwa kafulila alikuwa miongoni mwa VIBARAKA WA SPIKA aliowatuma kwenda kwenye kamati ya bunge ya katiba na sheria Kuhakikisha mswada wa kijinga wa mabadiliko ya katiba unapita, alikuwa kafulila,shibuda,hamadi Rashidi wa CUF nk. Atueleze ilikuwaje akubali kutusaliti na kuwa na mawazo ya ccm? Taarifa zimeeleza kuwa hata kutoka kwake nje na CHADEMA ilikuwa ni kutaka kujiepusha na kashfa ya UKIBARAKA wa ccm ktk mchakato huo wa katiba mpya, na Ndiyo maana Mh. MACHALI aliamua kubaki ndani ili atoe tamko la kutounga mswada wa kijinga wa mabadiliko ya katiba mpya na ndiyo maana baada ya KUICHAPA SERIKALI YA CCM KTK KUCHANGIA MSWADA HUO ALITOKA NJE, msimamo wa m,achali ulikuwa busara kuliko wa kibaraka wa ccm KAFULILA wa kujifanya anatoka na chadema huku akijua kuwa tayari chadema walikuwa wameshatoa tamko lao na hivyo ilikuwa ni zamu ya nccr kutoa msimamo wao kama machali alivyofanya na Mh. zaituni buyogera . Hakika MACHALI NA bUYOGERA WALIONESHA UKOMAVU WA KISIASA kwa kutoa msimamo wa chama chao na kisha kutoka nje kama Chadema walivyofanya baada ya LIsu kutoa msimamo wao chadema mzuri na kisha kutoka nje. Ilikuwa ni ujinga kwa kafulila kutoka nje chini ya msimamo wa chama kingine, aige kwa Machali na Buyogera walioamua kubaki na kutoa msimamo wa CHAMA CHAO nccr. Japokuwa mimi nikipenda chadema lakini katika hili naungana na Machali kwa kuamua kubaki bungeni na kutoa msimamo wa chama chake, Kafulila hakukitendea haki chama chake, hata hivyo inaonesha nccr kuna demokrasia ya kweli kwa sababu hatusikia kuwa wamemchukulia hatua za kinidhamu Kafulila na MKOSAMALI kwa kuamua kutoka nje chini ya mwamvuli wa cdm, ingekuwa ni vyama vingine kama huku kwetu CDM angehojiwa kwa nini ametoka nje kwa mwamvuli wa chama kingine. HONGERA nccr kwa kuwa na Demokrasia ya kweli, mnatoa uhuru wa kweli kwa viongozi wenu, nitawashauri hata makamanda wetu wa CDM kuiga hilo japo kuna mahali tunatofautiana kisiasa.
Mkiweza kumshughurikaia Kafulila kwa kumchukulia hatua za utovu wa nidhamu mshughurikieni, huyo ni kirusi kibaya sana. Chadema hatukuwa wajinga kumshughurikia, tena asijifanye kutueleza kuwa anamtetea HALIMA mdee katika kesi iliyofunguyliwa na mbatia, japo inasikitisha kwa mbatia kumshtaki mdee. Lakini ieleweke kuwa nccr ni chama kingine kabisa, hivyo hakiwezi kuingiliwa uhuru wake na chama au mtu mwingine. KWELI MDEE tunampenda sana kwa upambanaji but haipaswi kumuacha anapovunja sheria, ni haki ya kila mtu kuamua amshtaki mwenzake au aache.Hata hivyo taarifa zinaeleza kutoka ndania ya nccr kuwa KAFULILA ni miongoni mwa viongozi wa nccr walioshauri Mbatia afungue kesi hiyo na kumtisha mbatia kuwa asipofungua kesi hiyo dhidi ya mdee basi atakuwa ni CCM "b" kwelikweli Kama alivyotuhumiwa na Mdee. Kwa hiyo Mabtia kafungua kesi dhidi ya mdee baada ya kushauriwa na Kafulila, Hivyo mchawi mwingine wa mdee ni Kafulila katika kesi inayomkabili. Huyu sisimizi hafai, nccr fukuzeni huyo mtu, anajifanya kuwa naipenda chadema wakati ni yeye kafulila laiyewahi pia kusema kuwa CDM ni chama cha wajasiliamali wa kisiasa manzese na hata ndani ya bunge amekuwa akijifanya kutaka kupata nafasi sawa na kamanda mbowe huku akijua kuwa mbowe ni kiongozi mkuu wa upinzani bungeni na hivyo ana haki kama waziri mkuu hivi, CDM tukumbuke kuwa kafulila aliwahi kuumbuliwa na JENISTA MUHAGAMA kwa kuandika ki memo kuwa kiti cha spika kinampendlea mbowe kwa kumpa nafasi ya kuchangia bungeni. Wapi na wapi kafulila akaipend CDM, lakini pia alishawahi kudai kuwa mbowe anamuwinda, wapi na lini kafulila akamjali mdee na CDM. Jamaa kinyonga kwelio, hafai kusikilizwa ni mzushi tu, Nasisitiza kuwa Mh. MACHALI AENDELEE KUSHUGHULIKA KAFULILA KWA KUMKOSEA ADABU mBATIA, HATA KAMA MBATIA ANA MAKOSA , SIYO SAHIHI KUMUONDOA MADARAKANI KWA STYLE HIYO YA sisimizi Kafulila. Atujibu maswali yote kuhusu u CCM WAKE kafulila, anamsifia KIKWETE kuwa rais bora huku akijua kuwa wanaharakati hatumkubali kabisa . Jamaa jinga kwelikweli

(UKIWA MNAFIKI UKIWA KIJANA UJUE UKIZEEKA UTAKUWA MCHAWI)
Ukiona hivyo jua Kafurila akizeeka atakuwa mchawi
 
wabusara umejiunga jana tu mkuu,au ni id mpya?hii imekaa kimbeya mbeya sana
busara atoe wapi anaongea kama mwanamke wa ngomani??

Huyo yupo humu na ni NCCR wala sio chadema na anajua jamaa anawatosa!!! siku hizi elfu saba tu unanunua mtu ukiongeza mia tano ya internet anakuja JF kuchafua watu

utawaona wengi sana, kipindi cha mavuno kuelekea demokrasia kamili mkuu

mpe muda au m-PM kwamba una pesa unataka amchafue mtu, atakwambia hadi shangazi wa jirani yao anaitwa nani

SIASA ZA BONGO, MBONGO-MBONGO
 
(ukiwa mnafiki ukiwa kijana ujue ukizeeka utakuwa mchawi)
ukiona hivyo jua kafurila akizeeka atakuwa mchawi

mkuu yawezekana hata mleata mada keshakua mchawi........... Ogopa sana siasa za uchawi-uchawi, na mpe nafasi kafulila aje aseme the other side of story
 
Hivi sasa anahaha kisiasa kwa kutafuta huruma kutoka wananchi akidhani nccr ni mafala. Nccr wanadai kafulila kalikoroga na atalinywa kwelikweli, huenda kilchomfanya tumfukuze chadema kikamkuta nccr. Tulipokuwa tunamshughulikia ndani ya cdm jamii ilituona tunamuonea na alipotimkia nccr waliona wamepata shujaa kumbe wamepata tapeli wa kisiasa yaani mtu wa kuchochea migogoro na kibaraka wa ccm. Mimi ninawaambia kafulila ni ccm na tapeli wa kisiasa ndiyo maana majuzi mwanaharakati mmoja hapa JF katueleza jinsi alivyomsifia KIKWETE huko kigoma kuwa ndiye RAIS bora,je,hivi JK ni rais bora hadi asifiwe na mtu anayejiita ni mpinzani? Kweli kafulila ni mamluki wa ccm, kama mbatia ni ccm kwa sababu ya hotuba za kusifia serikali basi na kafulila ni ccm. Tunataka kafulila utueleze kwa nini tusikuite CCM "A" kwa kosa la kutusaliti watanzania kwa kumsifia KIKWETE kuwa ni Rais bora huku unajua watanzania hatumkubali JK? Toa hoja iwapo wewe siyo ccm, Vile vile Tundu Lisu ktk hotuba yake alidai kuwa kafulila alikuwa miongoni mwa VIBARAKA WA SPIKA aliowatuma kwenda kwenye kamati ya bunge ya katiba na sheria Kuhakikisha mswada wa kijinga wa mabadiliko ya katiba unapita, alikuwa kafulila,shibuda,hamadi Rashidi wa CUF nk. Atueleze ilikuwaje akubali kutusaliti na kuwa na mawazo ya ccm? Taarifa zimeeleza kuwa hata kutoka kwake nje na CHADEMA ilikuwa ni kutaka kujiepusha na kashfa ya UKIBARAKA wa ccm ktk mchakato huo wa katiba mpya, na Ndiyo maana Mh. MACHALI aliamua kubaki ndani ili atoe tamko la kutounga mswada wa kijinga wa mabadiliko ya katiba mpya na ndiyo maana baada ya KUICHAPA SERIKALI YA CCM KTK KUCHANGIA MSWADA HUO ALITOKA NJE, msimamo wa m,achali ulikuwa busara kuliko wa kibaraka wa ccm KAFULILA wa kujifanya anatoka na chadema huku akijua kuwa tayari chadema walikuwa wameshatoa tamko lao na hivyo ilikuwa ni zamu ya nccr kutoa msimamo wao kama machali alivyofanya na Mh. zaituni buyogera . Hakika MACHALI NA bUYOGERA WALIONESHA UKOMAVU WA KISIASA kwa kutoa msimamo wa chama chao na kisha kutoka nje kama Chadema walivyofanya baada ya LIsu kutoa msimamo wao chadema mzuri na kisha kutoka nje. Ilikuwa ni ujinga kwa kafulila kutoka nje chini ya msimamo wa chama kingine, aige kwa Machali na Buyogera walioamua kubaki na kutoa msimamo wa CHAMA CHAO nccr. Japokuwa mimi nikipenda chadema lakini katika hili naungana na Machali kwa kuamua kubaki bungeni na kutoa msimamo wa chama chake, Kafulila hakukitendea haki chama chake, hata hivyo inaonesha nccr kuna demokrasia ya kweli kwa sababu hatusikia kuwa wamemchukulia hatua za kinidhamu Kafulila na MKOSAMALI kwa kuamua kutoka nje chini ya mwamvuli wa cdm, ingekuwa ni vyama vingine kama huku kwetu CDM angehojiwa kwa nini ametoka nje kwa mwamvuli wa chama kingine. HONGERA nccr kwa kuwa na Demokrasia ya kweli, mnatoa uhuru wa kweli kwa viongozi wenu, nitawashauri hata makamanda wetu wa CDM kuiga hilo japo kuna mahali tunatofautiana kisiasa.
Mkiweza kumshughurikaia Kafulila kwa kumchukulia hatua za utovu wa nidhamu mshughurikieni, huyo ni kirusi kibaya sana. Chadema hatukuwa wajinga kumshughurikia, tena asijifanye kutueleza kuwa anamtetea HALIMA mdee katika kesi iliyofunguyliwa na mbatia, japo inasikitisha kwa mbatia kumshtaki mdee. Lakini ieleweke kuwa nccr ni chama kingine kabisa, hivyo hakiwezi kuingiliwa uhuru wake na chama au mtu mwingine. KWELI MDEE tunampenda sana kwa upambanaji but haipaswi kumuacha anapovunja sheria, ni haki ya kila mtu kuamua amshtaki mwenzake au aache.Hata hivyo taarifa zinaeleza kutoka ndania ya nccr kuwa KAFULILA ni miongoni mwa viongozi wa nccr walioshauri Mbatia afungue kesi hiyo na kumtisha mbatia kuwa asipofungua kesi hiyo dhidi ya mdee basi atakuwa ni CCM "b" kwelikweli Kama alivyotuhumiwa na Mdee. Kwa hiyo Mabtia kafungua kesi dhidi ya mdee baada ya kushauriwa na Kafulila, Hivyo mchawi mwingine wa mdee ni Kafulila katika kesi inayomkabili. Huyu sisimizi hafai, nccr fukuzeni huyo mtu, anajifanya kuwa naipenda chadema wakati ni yeye kafulila laiyewahi pia kusema kuwa CDM ni chama cha wajasiliamali wa kisiasa manzese na hata ndani ya bunge amekuwa akijifanya kutaka kupata nafasi sawa na kamanda mbowe huku akijua kuwa mbowe ni kiongozi mkuu wa upinzani bungeni na hivyo ana haki kama waziri mkuu hivi, CDM tukumbuke kuwa kafulila aliwahi kuumbuliwa na JENISTA MUHAGAMA kwa kuandika ki memo kuwa kiti cha spika kinampendlea mbowe kwa kumpa nafasi ya kuchangia bungeni. Wapi na wapi kafulila akaipend CDM, lakini pia alishawahi kudai kuwa mbowe anamuwinda, wapi na lini kafulila akamjali mdee na CDM. Jamaa kinyonga kwelio, hafai kusikilizwa ni mzushi tu, Nasisitiza kuwa Mh. MACHALI AENDELEE KUSHUGHULIKA KAFULILA KWA KUMKOSEA ADABU mBATIA, HATA KAMA MBATIA ANA MAKOSA , SIYO SAHIHI KUMUONDOA MADARAKANI KWA STYLE HIYO YA sisimizi Kafulila. Atujibu maswali yote kuhusu u CCM WAKE kafulila, anamsifia KIKWETE kuwa rais bora huku akijua kuwa wanaharakati hatumkubali kabisa . Jamaa jinga kwelikweli

mi sijala nina ukata kweli!!!!matokeo yake unaniongezea njaa kwa thread yako!!!
 
hapa nachokiona mtoa mada ana chuki binafsi, Kafulila pamoja nakuwa ni mpinzani anayo haki ya kutoa maoni yake napenda kusema. sie wa mwisho wa reli tangu nchi hii ipate uhuru hakuna Rais hata mmoja aliyethubutu kutukumbuka zaid ya huyu ndugu JK ndo maana mbunge huyu alidiliki kutamka hayo, hizo tofauti za ndani NCCR tuwaachie wenyewe vyama vyote CCM. CDM, TLP Mbona wana migogoro inaendelea lakini wanamaliza wenyewe.. KIFUPI MTOA MADA UNA CHUKI BINAFSI KWA FULILA
SISI TULIOMCHAGUA TUNAJUA THAMANI YAKE NA HILI NI JEMBE KWELI KWELI WENYE WIVU MJINYONGE
 
hapa nachokiona mtoa mada ana chuki binafsi, Kafulila pamoja nakuwa ni mpinzani anayo haki ya kutoa maoni yake napenda kusema. sie wa mwisho wa reli tangu nchi hii ipate uhuru hakuna Rais hata mmoja aliyethubutu kutukumbuka zaid ya huyu ndugu JK ndo maana mbunge huyu alidiliki kutamka hayo, hizo tofauti za ndani NCCR tuwaachie wenyewe vyama vyote CCM. CDM, TLP Mbona wana migogoro inaendelea lakini wanamaliza wenyewe.. KIFUPI MTOA MADA UNA CHUKI BINAFSI KWA FULILA
SISI TULIOMCHAGUA TUNAJUA THAMANI YAKE NA HILI NI JEMBE KWELI KWELI WENYE WIVU MJINYONGE
 
Waungwana hata muimbe vipi kuhusu upuuzi wa Kafulila, nadhani mmerogwa akili zenu,hivi unaweza ukamtetea mwehu dizaini ya kafulila? kafulila mnafiki wa mwisho na wa kwanza, unawezaje kumtetea CCM "A", hiyo siyo akkili bali matope, amefikiri nccr hawana akili, sasa aelewe fika kuwa akina MACHALI ni watu makini, siyo wakurupukaji ndiyo maana iliwachukwa muda mrefu kuamua kujitokeza front line kujibu wendwazimu wa kafulila. Acha wamshughurikie akome kwa sababu kafulila ni mchawei wa siasa, usimpe nafasi ya kufanya ubwabwa anaoufanya sasa hivi, Namshauri Machali akaze buti kuwashauri NCCR kumtosa kafulila, hii ni kwa sababu kafulila kwa KISUMKUMA kule kwetu ni KIMETA, nADHANI UNAJUA MADHARA YA KIMETA.
 
Back
Top Bottom