Sio yeye anayejenga lakin yy atakuwa ndyo chachu ya ujenzi wa shule kwa kuhamasisha wananchi sambamba na serikali maana ndyo majukumu yake alikuwa wapi kufanya hilo..
Nimemsikiliza Tundulisu alipokuwa akihojiwa channel ten hakika kwa sasa ameishiwa hoja na nadhani ndyo mwanzo wake wa kupotea katika siasa, yan jimbo lake halina shule za kutosha na madarasa kwa zaid ya miaka mitano unakuja kwenye media na kumlaumu JPM hivi ww mbunge umefanya nini kama ww sio...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.