Huwezi kumwamnbia mkeo MSHAMBA halafu ukategemea msamaha kirahisi hivyo. Hili ndo tatizo la kuoa wanawake wenye akili finyu, visasi na kukurupuka. Nimejaribu kusoma katikati ya mistari yako Mkuu
Tanzania njia panda mabilioni ya Uswisi
By Elias Msuya, Mwananchi emsuya@mwananchi.co.tz
Dar es Salaam. Wakati Kenya na Uswisi zikiingia makubaliano ya kurejesha mabilioni ya fedha yaliyofichwa katika benki za nchi hiyo ya barani Ulaya, Tanzania imeendelea kuwa njia panda katika suala hilo...
Hii Ripoti ni miaka mitatu sasa haijapelekwa Bungeni
Na Lilian Timbuka, Mwananchi
Posted Alhamisi, Februari 12 2015 saa 9:26 AM
Kwa ufupi
Hayo yalisemwa jana na Mwanasheria Mkuu wa Serikali
Dar es Salaam. Kamati iliyoundwa na Ofisi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali (AG), kuchunguza mabilioni ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.