Ama kweli ndoa za siku hizi comedy kweli kweli, yaani mwanamke umeolewa alafu mtu anakuja kukuletea ushenzi na maisha yako eti unamuogopa, au una mpenda ??? Maaaaana kama unaonekan huna msimamo , shenzi sana
Biblia imeandika , enyi waume, ishini na wake zenu kwa akili, haikukosea hakuna viumbe walu walu kama wanawake yaani kwanza hawana mapenzi ya kweli kabisa , kwani hata leo katika wanawake 100 walio na wapenzi wao utakuta 2 au 3 ndio wapo kwenye uhusiano/ndoa kwa upendo toka moyoni, lakini walio...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.