Usinipite tafadhali, natafuta mtoto nimrithishe

Usinipite tafadhali, natafuta mtoto nimrithishe

Wewe umecheki? Labda tatizo liko kwako. Ka-asili (adopt) mtoto, mbona wapo wengi kwenye nyumba za kulelea watoto!!! Kachukue kachanga mtakalea kama kenu wala hakatajua kama kameasiliwa.
 
Kwani hao dada zako hawana watoto, chukua watoto wa ndugu zako!
 
Wakina dada fursa hyo. Jamaa kajipiga promo tu hamna lolote. Pole kama ya kweli lakn.
 
Wanakudanganya Hao,usithubutu kwenda kwa Dr.Mwaka Au ustawi wa Jamii

Nipe Number ya huyo Mkeo na Mambo yote yatakuwa in Line.
Sawa PACHA wangu?tunafanana sana ndugu yangu.

Ila Mkeo awe Anavutia kidogo..
 
Kama chai....


Anyway...kafanye sperm analysis.... na mkeo akachunguzwe...

Kwa sababu una utajiri unaweza kwenda kufanya matibabu south afrika au uingereza...

south ni mbali kuna dada alikuwa na tatizo la kutoshika mimba alienda nairobi kwa alijifungua mwezi wa 11 so na huyu anaweza kufata ushauri w dr akaenda na mkewe
 
Nina hamu nimpate mtoto wa kike au wa kiume. Kifupi mimi nimeoa mke wa tatu sasa baada yule wa kwanza kutimuana na wifi zake kwa kisa cha kumfumania na mume wa mmoja kati yao.

Wa pili tuliachana naye baada ya kuzaa na mzungu ambaye anadai ni padri na kutoroka yeye na mwanaye.

Huyu niliyenaye ni mwaka wa 5 sasa hata ujauzito hapati. Natamani achepuke na mtu wa kufanana na mimi ila asiniambie lakini anaweza itunza siri? Mawifi nao wameanza vidomodomo nifanyeje niuwe kwa bunduki yangu yenye risasi za bandia? Nipeni ushauri maana sipati faraja nionapo utajiri wangu wa pesa, nyumba na magari bila mtoto.

mr jose chameleon hope hili sio tangazo, si unajua tena jf kichaka cha wote. Nakushauri fanya njia ya kitaalam hospital upate mtoto na mke wako, subiri kuwaza kuwa mkeo achepuke hii inauma sana maana kweli mtoto hatokua wako. Una hela ebu zitumie hospitalini nenda nairobi mtoto mtapata.

Dah ila pole
 
Kwa mke wangu mpenzi, nakupenda sana siwezi kuiweka picha yako humu nikaivunja heshima baina yangu mimi na wewe. Ingawa nawashukuru wadau waliosikitika pamoja nami,wengine wameniombea baadhi yao kunishauri tukamwone daktari. wewe mwenyewe waelewa tumehudhuria clinic mfulilizo mpaka walinzi pale wanafikiri sisi ni clinical oficers. Ikiwa itatokea bahati ukaisoma mada hii tafadhali ipotezee nisijue. Na kwa vyovyote vile likitokea bao (hata la mkono) mimi kama mwanaume yeyote "napenda sifa" kua nimefunga goli sitauliza maswali. Nitaendelea kupokea ushauri toka kwa wadau...
 
Wanakudanganya Hao,usithubutu kwenda kwa Dr.Mwaka Au ustawi wa Jamii

Nipe Number ya huyo Mkeo na Mambo yote yatakuwa in Line.
Sawa PACHA wangu?tunafanana sana ndugu yangu.

Ila Mkeo awe Anavutia kidogo..

U 'r . Pte no. P'se I hate publicity
 
Nina hamu nimpate mtoto wa kike au wa kiume. Kifupi mimi nimeoa mke wa tatu sasa baada yule wa kwanza kutimuana na wifi zake kwa kisa cha kumfumania na mume wa mmoja kati yao.

Wa pili tuliachana naye baada ya kuzaa na mzungu ambaye anadai ni padri na kutoroka yeye na mwanaye.

Huyu niliyenaye ni mwaka wa 5 sasa hata ujauzito hapati. Natamani achepuke na mtu wa kufanana na mimi ila asiniambie lakini anaweza itunza siri? Mawifi nao wameanza vidomodomo nifanyeje niuwe kwa bunduki yangu yenye risasi za bandia? Nipeni ushauri maana sipati faraja nionapo utajiri wangu wa pesa, nyumba na magari bila mtoto.
Unaweza fanya mpango mkeo akapandikizwa mbegu za mwanaume mwingine bila kuingiliana kimwili
 
Nina hamu nimpate mtoto wa kike au wa kiume. Kifupi mimi nimeoa mke wa tatu sasa baada yule wa kwanza kutimuana na wifi zake kwa kisa cha kumfumania na mume wa mmoja kati yao.

Wa pili tuliachana naye baada ya kuzaa na mzungu ambaye anadai ni padri na kutoroka yeye na mwanaye.

Huyu niliyenaye ni mwaka wa 5 sasa hata ujauzito hapati. Natamani achepuke na mtu wa kufanana na mimi ila asiniambie lakini anaweza itunza siri? Mawifi nao wameanza vidomodomo nifanyeje niuwe kwa bunduki yangu yenye risasi za bandia? Nipeni ushauri maana sipati faraja nionapo utajiri wangu wa pesa, nyumba na magari bila mtoto.

Uko wapi kwani?
 
Nina hamu nimpate mtoto wa kike au wa kiume. Kifupi mimi nimeoa mke wa tatu sasa baada yule wa kwanza kutimuana na wifi zake kwa kisa cha kumfumania na mume wa mmoja kati yao.

Wa pili tuliachana naye baada ya kuzaa na mzungu ambaye anadai ni padri na kutoroka yeye na mwanaye.

Huyu niliyenaye ni mwaka wa 5 sasa hata ujauzito hapati. Natamani achepuke na mtu wa kufanana na mimi ila asiniambie lakini anaweza itunza siri? Mawifi nao wameanza vidomodomo nifanyeje niuwe kwa bunduki yangu yenye risasi za bandia? Nipeni ushauri maana sipati faraja nionapo utajiri wangu wa pesa, nyumba na magari bila mtoto.

Ni uongo uliovuka viwango vyote. Km kweli njoo nikupe wa hiari kbs kwa roho safi kbs awe wako kbs
 
Back
Top Bottom