Recent content by wa kutambua

  1. wa kutambua

    Hivi mnaoendaga kwenye show za miziki ya kibongo mnafaidi nini hasa ?

    2014 nlienda fiesta kwa mara ya kwanza nikiwa songea, haikufika hata saa sita nliondoka nkaenda kulala maana ckuona uzuri wa zile show, labda wasanii wa hiphop kidooogo wanachangamsha akina linar na recho hadi unamwonea huruma mpaka inabidi waoneshe makalio watu ndo wachangamke, ila...
  2. wa kutambua

    humu ndani kuna pesa zangu

    huyo jamaa atakuwa mchagaa hihihihihihi
  3. wa kutambua

    Kuangalia mpira na wanawake ni shiiidah

    hahahahaa jamaa wanaenda kucheki visketi
  4. wa kutambua

    Christopher Alex anasumbuliwa na nini ?

    hili ndo tatizo la kutokuwa na nidham na unachokifanya... Apumwikhe.. be..
  5. wa kutambua

    The Interview: Filamu ya Wamarekani dhidi ya Korea Kaskazini

    naweza ipata kupitia torrent, nataman niione sana.
  6. wa kutambua

    Maajabu ya bongo movie..

    mm huwa naona aibu kuangalia, kuna cku nliona matangazo ya movi ya. kibongo inaitw taksi driver nkajua itakuwa bonge la muvi, nkaenda kuazima, mweee! najuuta hata cjarudia tena mm ni teja wa hollywood.
  7. wa kutambua

    Jinsi ya kuondoa ujumbe wa "copy of window is not genuine" kwenye microsoft windows

    athante thana kaka nimetheve maeledho yako ntathoma baadae mdhee
  8. wa kutambua

    Msaada, modem ya vodafone ZTE

    fatma kesha sema tumia join air utaweza kula mitandao yote utabadilisha kama viatu
  9. wa kutambua

    Wataalam wa IT msaada wenu. Niokoeni jamani

    jifunze kutumia kompyuta vizuri na baadhi ya software maana ukijua chache zitakupa uwezo wa kila aina ya software
  10. wa kutambua

    Tujifunze video shooting & editing

    wanajamvi mmenigusa sana maana tangu nikiwa dogo natamani sana mautundu haya, hizo windows essential movie maker ndo ninazofanikiwa kuzipata tuu. zingine nimedownload lakin kuinstall nahitaji kam GB 1 hiv na net zetu ndo ivo ni zembe balaa kama kuna m2 anaweza nipa moja anitonye through 0714...
  11. wa kutambua

    Kwa graduates msio na ajira ....faraja..

    unajiita msani au msanii, maana wasiwasi wangu ni kuwa umetumia usanii kuandika hayo maelezo, ila kama ni kweli unazo hizo pesa basi nakuomba uendelee kuzitunza huku ukiangalia ni jambo gani unalopenda kulifanya na litazalisha zaidi, maana unaweza ukasubiri kazi na usije kuukusanya kiasi hicho...
  12. wa kutambua

    Kwa graduates msio na ajira ....faraja..

    jamaa anaongea jambo la ukweli kabisa ila ameropoka kidogo. ni kwamba angesema kuwa sie graduets tukipata kazi tuuache utozi tutafute mtaji wa project kama hiyo yake, maana magraduets hatuna kitu hata kama nina hiyo laki tano ntaitumia kujitunza ili niondoe aibu ya kutunzwa baada ya kugraduate...
  13. wa kutambua

    Mishahara ya serikali?

    mwenyewe nimeliona hilo hakika ni tatizo, si kiswahili pekee hata kiingereza hakijui, kuna jamaa kasema kweli huyo atakuwa la saba anafuatilia mshahara wa anayemdai
  14. wa kutambua

    Nimeitwa interview kupitia zoom , lakini wizi mtupu

    wewe ni nouma ila ulifanya ya msingi ungewaambia na wenzio bana hao jamaa matapel siwataki kabisa, mi mwenyewe natafuta kazi nimekuwa kama jinga yaan unaweza nitapeli hivi hivi, afu wanajamvi msijidanganye kuitwa kwenye kazi zinazotangazwa maana nimeona wanaitana kiundugu tuu, wanatangaza kama...
  15. wa kutambua

    Nimeitwa interview kupitia zoom , lakini wizi mtupu

    mjini shule kwa staili hiyo!
Back
Top Bottom