kwanza usiulize maswali ukachanganya na mawazo yako, wasichana bado wako wengi tafuta mwingine ukweli huna kipato ndio sababu hakupend, mm mwezako nna ka primio x new model ni shda na ujanja ujanja wa mjin basi nna ndoa 2 nyumba ndogo 1 tafuta pesa kwanza halafu uone watakvyo kusumbua
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.