ankol nadhani huna shaka kwamba utakufa, hivyo jitayarishe tu ipo siku utakufa, kama ulivyozaliwa sidhani kama ulikuwa unajua kuwa umezaliwa lakini ulizaliwa, hivyo na kufa utakufa vipi itakuwa si swala la msingi sana lakini cha msingi ishi duniani vizuri ili utakapokufa huenda ndiyo utakuwa...
Dr MJ, tatizo letu ni wengi wetu tumekuwa mahakimu wa kuhukumu watu. Ikiwa Harmonize anajinasibisha kuwa yeye muumini wa dini ya kiislamu, na ametoa maoni yake kuhusu mfumo dume ambao umempelekea yeye kuhisi kuwa baadhi ya imani imemfanya Mungu kuwa (Mungu baba) ni sawa kumpa Mungu jinsia ya...
Mnajua kuna wakati mwingine tunatengeneza au tunawatengenezea watu mabalaa bila ya sisi kujijua, wakati huyo Harmonize anazungumza na Mwijaku kuhusu maoni yake, alimwambia ayasambaze? Je ni kweli hayo mazungumzo alikuwa akitaka kuwaeleza watu wote? au ilikuwa mahususi baina yake na Mwijaku...
Nadhani tatizo la hii issue siyo VAR bali ukosekanaji wa GLT (Goal Line Technology), teknolojia ya mstari wa goli kwa msaada wa kamera, hiyo ndiyo iliyomfanya hata muamuzi kutokwenda kuangalia VAR. Nina uhakika mfumo wa GLT utatumika sambamba na VAR kwenye mechi zijazo.
Nguruwe ni mnyama aliyekatazwa kuuliwa kwa kuliwa hata kutumikishwa kutokana na uasili wake, hivyo kama ikiwa anaweza kutoa msaada kwa wenye kutaka msaada wa nguruwe ni ruksa, imani za watu wengine ziheshimiwe. ziheshimiwe.
Ni maoni na pendekazo langu tu, bi Zuhura Yunus angefaa kwa hiyo post, na Kikeke achukue nafasi ya Zuhura ili kwanza naye ajifunze jinsi ya mfumo unavyofanya kazi.
Kwanini Zuhura?
Zuhura Yunus ni muwakilishi wa raisi (kijinsia) ambaye ataweza kutumia weledi wake katika kuitendea vyema nafasi ya...
Pasaka ya 2023 ilikuwa 09-04-2023 ambapo mfungo wa Ramadhani ulianza takriban 22-03-2023 mpaka 20-04-2023.
Vipi unasema Pasaka haikuwa ndani ya Ramadhani mwaka jana?
Ni kweli si vizuri kujichukulia hukumu mikononi mwetu, kwani tuna sheria ambazo zinazotuongoza. Lakini tujaribu kuishi kwa kuzingatia khulka, silika na tamaduni za sehemu tunazokuwepo. Hakuna kitu kizuri kama kuheshimiana, kustahamiliana na kupendana kwani kama watanzania tuna mengi ya kutufanya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.