Recent content by Vumilika

  1. V

    JamiiForums Tanzania Maswali Magumu Yanayowatatiza Wahubiri

    Wahubiri hawatatizwi na maswali yote, kwa sababu wao huhubiri yale waliyofundishwa kuhusu imani. Tatizo linakuja pale mtu anapotaka kumuuliza fundi muashi jinsi ya kutengeneza hereni ya dhahabu. Kila mtu ana taaluma na eneo lake la uelewa. Tatizo kubwa la wengi wetu ni kutaka mafanikio kwa...
  2. V

    JamiiForums Tanzania She is a gift that keeps on giving……let her talk!

    Anayoyazungumza ni kwa kuwa amewezeshwa kufanya hivyo na Tundu Lissu. Na tatizo lilianzia hapa. https://youtu.be/Pgu4VfqBGKs?si=9ZsKGWdJTSbDLh7P
  3. V

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kwanini madini hayataki uchafu wa zinaa?

    Sekta ya uchimbaji wa madini inahitaji elimu, utaalamu wa wanajiolojia, wahandisi wa migodi, na matumizi ya sayansi, si kutegemea ushirikina. Mara nyingi waganga hudai kutumia majini kuwasaidia wateja wao kupata mafanikio, huku wakisisitiza masharti ya usafi au uchafu wa mwili katika huduma zao...
  4. V

    JamiiForums Tanzania Hivi wazazi mnaoleaga hivi watoto huwa mnajielewa kweli?

    Wengi wetu tumekuwa na tatizo la uzazi kutokana na mifumo yetu ya maisha ya kisasa, kuanzia kwenye kutafuta elimu, lishe duni, stress za maisha kutokana kazi tunazozifanya na uchache wa kipato n.k. Mara nying tunajikuta tunaingia kwenye ndoa huku tukiwa tumepitia mambo mengi ikiwa uangaliaji wa...
  5. V

    JamiiForums Tanzania Shigongo: Biashara za Wazawa Kariakoo zinafungwa, tutunge sheria Biashara chini ya Bilioni 50 isifanywe na Wageni

    Nadhani tunapoelekea tutawafukuza wageni kama wanavyofanya Afrika Kusini.
  6. V

    JamiiForums Tanzania Mapokezi ya Putin nchini China, Je, Huu ni Ujumbe kwa Marekani na NATO?

    Tuombe visitokee kwani ikiwa hakuna budi basi majirani zake wanaoshirikiana na wanaompiga watapata hasara ambayo itachukua muelekeo mwingine katika maendeleo na siasa zao.
  7. V

    JamiiForums Tanzania Mapokezi ya Putin nchini China, Je, Huu ni Ujumbe kwa Marekani na NATO?

    Bipolar ni ugonjwa na huenda ndiyo unaomsumbua POTUS.
  8. V

    JamiiForums Tanzania Bill Gates: Tujiandae litakuja Gonjwa kubwa zaidi la mlipuko kuliko Corona

    Sisi tutapiga nyungu tu, sasa hivi tutazidisha na mizizi ya mimea ya baharini.
  9. V

    JamiiForums Tanzania UDOM yang’ara katika umahiri wa Kichina, wanafunzi wafunguliwa milango ya fursa za kimataifa

    Waje na huku mitaani kuna machizi wanazungumza kichina kama hawana akili vizuri na kuna madojo kibao yanafundisha sanaa za kichina au wanatakiwa wanafunzi wa vyuo tuu?
  10. V

    JamiiForums Tanzania Ujio wa AI umesababisha nisiamini chochote minachokiona mtandaoni

    AI ikitumika vizuri ni bonge la mkombozi lakini ikitumiwa hovyo ni bonge la muharibifu. Sidhani kama wachina ni very smart kichwani lakini wameweza tumia AI kwa vizuri sasa hivi wanakwenda kuwa superpower soon. Sisi huku wanatuletea mashine za kubeti tu.
  11. V

    JamiiForums Tanzania TANZIA Baharia Mtanzania apoteza maisha wakati meli inavuka mfereji wa Hormuz

    Vitakwisha tu, pindi akili zikiwarudi.
  12. V

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Aina za laana

    Laana kwa sisi tulivyofundishwa ni kutolewa na kuwekwa kando na rehma ya Mwenyezi Mungu.
  13. V

    JamiiForums Tanzania Goli la Chama linaizidi kwa mbali Goli la Puskat 2025

    Goli ni zuri sana, litabaki kwenye kumbukumbu ya wapenda soka, na timu ijitahidi kufanya vizuri ili ifike mbali. Simba bado ina madhaifu isijifiche kwenye kichaka cha goli zuri wakasahau kurekebisha mapungufa ya klabu.
  14. V

    JamiiForums Tanzania Kuna mtu mmoja aliwahi kuniuliza kwanini watu wa mashariki ya kati baadhi yao wanaona ugaidi ni kama moja ya jukumu lao hapa duniani? Nilimjibu hivi

    Mtu anayejitetea leo anaitwa gaidi? Muelewe kuwa mwenye haki haogopi kufa, ndiyo maana mnaona watoto wenye mawe wanapigana na maaskari wenye bunduki.
Back
Top Bottom