Sekta ya uchimbaji wa madini inahitaji elimu, utaalamu wa wanajiolojia, wahandisi wa migodi, na matumizi ya sayansi, si kutegemea ushirikina.
Mara nyingi waganga hudai kutumia majini kuwasaidia wateja wao kupata mafanikio, huku wakisisitiza masharti ya usafi au uchafu wa mwili katika huduma zao...