Recent content by Vumilika

  1. V

    Ikiwa tumekufa tutaweza kutambua kama tumekufa?

    ankol nadhani huna shaka kwamba utakufa, hivyo jitayarishe tu ipo siku utakufa, kama ulivyozaliwa sidhani kama ulikuwa unajua kuwa umezaliwa lakini ulizaliwa, hivyo na kufa utakufa vipi itakuwa si swala la msingi sana lakini cha msingi ishi duniani vizuri ili utakapokufa huenda ndiyo utakuwa...
  2. V

    Utabiri wangu Mechi ya Simba na Yanga 20/04/2024

    Hilo ni la Aziz Ki, bado kuna goli la Guede, kuna la Mzize na kuna Goli la Musonda na kuna goli la Maxi na Huenda Muda naye akafanya yake.
  3. V

    Kuuliza si ujinga, Mtu akifariki watu wanasema Apumzike kwa Amani huwa wanamwambia marehemu au wanamaanisha nini?

    https://en.wikipedia.org/wiki/Rest_in_peace#:~:text=Rest%20in%20peace%20(R.I.P.)%2C,decedent%20eternal%20rest%20and%20peace.
  4. V

    Harmonize afikishwe sober house haraka, mihadarati inapeleka kubaya

    Dr MJ, tatizo letu ni wengi wetu tumekuwa mahakimu wa kuhukumu watu. Ikiwa Harmonize anajinasibisha kuwa yeye muumini wa dini ya kiislamu, na ametoa maoni yake kuhusu mfumo dume ambao umempelekea yeye kuhisi kuwa baadhi ya imani imemfanya Mungu kuwa (Mungu baba) ni sawa kumpa Mungu jinsia ya...
  5. V

    Harmonize afikishwe sober house haraka, mihadarati inapeleka kubaya

    Kila mtu anatumia insterlive?!,
  6. V

    Harmonize afikishwe sober house haraka, mihadarati inapeleka kubaya

    Mnajua kuna wakati mwingine tunatengeneza au tunawatengenezea watu mabalaa bila ya sisi kujijua, wakati huyo Harmonize anazungumza na Mwijaku kuhusu maoni yake, alimwambia ayasambaze? Je ni kweli hayo mazungumzo alikuwa akitaka kuwaeleza watu wote? au ilikuwa mahususi baina yake na Mwijaku...
  7. V

    Yalikuwa yanajisifu ni ya kimataifa. Yamepigwa ndani nje sasa yamejificha kwenye dhuluma waliiofanyiwa Yanga

    Don't take it serious, nayo hii ni katika utani wetu wa jadi, lakini message sent and delivered.
  8. V

    Unyonge wa Wachezaji wa Yanga ndo umefanya timu kukosa nusu fainali

    Nadhani tatizo la hii issue siyo VAR bali ukosekanaji wa GLT (Goal Line Technology), teknolojia ya mstari wa goli kwa msaada wa kamera, hiyo ndiyo iliyomfanya hata muamuzi kutokwenda kuangalia VAR. Nina uhakika mfumo wa GLT utatumika sambamba na VAR kwenye mechi zijazo.
  9. V

    Huyu hapa Mgonjwa wa kwanza kuwekewa Figo ya Nguruwe

    Nguruwe ni mnyama aliyekatazwa kuuliwa kwa kuliwa hata kutumikishwa kutokana na uasili wake, hivyo kama ikiwa anaweza kutoa msaada kwa wenye kutaka msaada wa nguruwe ni ruksa, imani za watu wengine ziheshimiwe. ziheshimiwe.
  10. V

    Mwenezi CCM kupatikana 03/04/2024; Nani anafaa kurithi mikoba ya Makonda?

    Ni maoni na pendekazo langu tu, bi Zuhura Yunus angefaa kwa hiyo post, na Kikeke achukue nafasi ya Zuhura ili kwanza naye ajifunze jinsi ya mfumo unavyofanya kazi. Kwanini Zuhura? Zuhura Yunus ni muwakilishi wa raisi (kijinsia) ambaye ataweza kutumia weledi wake katika kuitendea vyema nafasi ya...
  11. V

    Kama Yanga asiposhinda kwa Madiba mods nawaruhusu munipige ban ya wiki

    Yanga hata kwa matokeo ya sare tunakwenda nusu fainali, siyo lazima tushinde.
  12. V

    Kwanini Nchi nyingi zenye asili ya Uislam zinakumbwa na Vita sana?

    Mti wenye matunda ndiyo wenye kupopolewa mawe.
  13. V

    Nini hatima ya Wakristo walio Zanzibar kwenye sherehe za Pasaka baada ya zuio la kula mchana wakati huu wa Ramadhan?

    Pasaka ya 2023 ilikuwa 09-04-2023 ambapo mfungo wa Ramadhani ulianza takriban 22-03-2023 mpaka 20-04-2023. Vipi unasema Pasaka haikuwa ndani ya Ramadhani mwaka jana?
  14. V

    Kwani Zanzibar wanawachukuliaje watu wa Bara?

    Ni kweli si vizuri kujichukulia hukumu mikononi mwetu, kwani tuna sheria ambazo zinazotuongoza. Lakini tujaribu kuishi kwa kuzingatia khulka, silika na tamaduni za sehemu tunazokuwepo. Hakuna kitu kizuri kama kuheshimiana, kustahamiliana na kupendana kwani kama watanzania tuna mengi ya kutufanya...
Back
Top Bottom