Recent content by Vumilika

  1. V

    Inakuaje viongozi wa Iran wanauawa sana, ni kwamba hawawezi kujilinda au wanafeli wapi ?

    Israel kwenye ujasusi wapo vizuri na wameweza kuwasoma wairani kwa muda mrefu na kuweza kujua kila kiongozi wa Irani na nyendo zake. Ndiyo maana walipoanzisha vita walijua wataleta madhara makubwa, lakini kutokana wairani wana taasisi imara ndiyo maana hata viongozi walikifa wanakuja wengine...
  2. V

    Jenerali wa IRGC Mohammad Zolghadr aliyeshika nafasi ya larjan aangamizwa

    Hizo ni habari zisizothibitishwa na hazina ukweli, kama zile za Netanyahu kutoonekana hadharani.
  3. V

    IRGC ilitangaza wimbi la 71 la "Operesheni Iliyoahidiwa Sadiq 4," ikitambulisha mbinu mpya na mifumo ya hali ya juu zaidi

    Dunia ni kijiji kwa sasa, kwa hiyo kitu chochote kitokeacho kitakuwa na uhusiano nasi, subiri uone vitu vikipanda bei kutokana na hivi vita.
  4. V

    Iran imetangaza Mazishi ya Ali Larijani

    Ikiwa kizembe au kishujaa ni utakufa tu. Uchaguzi ni wako ujue kuwa wewe ni mfu mtarajiwa.
  5. V

    Iran imetangaza Mazishi ya Ali Larijani

    Sote ni wafu watarajiwa.
  6. V

    Ujio wa wazi viumbe kutoka sayari nyingine utaleta mapinduzi makubwa sana Duniani

    Akili ikiendeshwa na hisia bila ya uasilia ni tabu.
  7. V

    Trump: Kwa kweli ‘sijali’ kama Iran itashiriki Kombe la Dunia 2026

    Huenda hata World Cup isichezwe na kama ikichezwa kuna viongozi hawataiona.
  8. V

    Kama Mkristo Naona Uislamu Hautatoboa Hii Karne Kuelekea Karne Ifuatayo: Simu na Wi-Fi Vinachangia Kudidimiza Uislamu Zaidi ya Vita Dhidi ya Makafiri

    Ni Mungu yule yule Yesu aliyemlilia pindi alipokuwa akimhitaji. Matayo 27:46 Mnamo saa tisa Yesu akalia kwa sauti kuu, “Eli, Eli lama sabakthani?” Yaani, “Mungu wangu, Mungu wangu, mbona ume niacha?”
  9. V

    Nimekukumbuka Polepole: You made a terrible mistake!

    Sijui ana ugomvi naye wa nini?
  10. V

    Tundu Lissu aachiwe huru sasa!

    وَشَهِدَ شَاهِدٌ مِنْ أَهْلِهَا
  11. V

    Tundu Lissu aachiwe huru sasa!

    Ujasiri wa Lissu ulipitiliza, kutamka maneno haya ni hatari kwa mtu kama yeye kiongozi mkubwa wa chama kikubwa cha upinzania nchini. https://youtu.be/Pgu4VfqBGKs?si=9ZsKGWdJTSbDLh7P
  12. V

    Nimeamua kuwa Atheist

    Nini umeelewa Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote? Vipi unaweza kuzungumzia kuhusu hiari ya mwanadamu?
  13. V

    Nimeamua kuwa Atheist

    Uchomozaji wa jua upo kwenye autopilot :D
  14. V

    Nimeamua kuwa Atheist

    Unajua ukiwa unajadiliana kistaarabu inapendeza zaidi kuliko kuleteana maneno ya kipumbavu. Hoja za kuleta kusema kuna duara la pembe nne, halipo.
  15. V

    Nimeamua kuwa Atheist

    Upumbavu wako ni uthibitisho tosha wa uwepo wa Mungu. Nyinyi ndiyo mliyotajwa makafiri, kama msingekuwepo tungeitilia shaka maneno ya Mungu, lakini nyinyi mnadhihirisha ukafiri wenu na kufanya maneno ya Mungu kuwa kweli. Na hiyo misemo yako ni kama mtu aliye-left group.
Back
Top Bottom