Israel kwenye ujasusi wapo vizuri na wameweza kuwasoma wairani kwa muda mrefu na kuweza kujua kila kiongozi wa Irani na nyendo zake. Ndiyo maana walipoanzisha vita walijua wataleta madhara makubwa, lakini kutokana wairani wana taasisi imara ndiyo maana hata viongozi walikifa wanakuja wengine...
Ni Mungu yule yule Yesu aliyemlilia pindi alipokuwa akimhitaji.
Matayo 27:46
Mnamo saa tisa Yesu akalia kwa sauti kuu, “Eli, Eli lama sabakthani?” Yaani, “Mungu wangu, Mungu wangu, mbona ume niacha?”
Ujasiri wa Lissu ulipitiliza, kutamka maneno haya ni hatari kwa mtu kama yeye kiongozi mkubwa wa chama kikubwa cha upinzania nchini.
https://youtu.be/Pgu4VfqBGKs?si=9ZsKGWdJTSbDLh7P
Upumbavu wako ni uthibitisho tosha wa uwepo wa Mungu.
Nyinyi ndiyo mliyotajwa makafiri, kama msingekuwepo tungeitilia shaka maneno ya Mungu, lakini nyinyi mnadhihirisha ukafiri wenu na kufanya maneno ya Mungu kuwa kweli.
Na hiyo misemo yako ni kama mtu aliye-left group.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.