Hana lolote huyo mpuuzi tu mmoja linajifanya linajua lkn ni pumbafu moja tu tena halina akili. We angalia michango Yake yote linaongea ujinga ujinga. Mafuasi ya makanisa ya kiroho ni shida sn! Misukule inayoburuzwa na mapambio na sebene za kikongo!
Wakuu kesho Liverpool yuko darajani lazima apigwe ndio kombe linoge kuchukua wapi wadau Wa Chelsea ktk kuchambua huu mtanange? Ntuzu Manumbu Mentor agosti 8 kalou b5-click kunguru mjanja Grand PA Viol the say mbingunikwetu Na wadau wote. Leteni nondo wakuu. Maana uchambuzi wenu kwa mchezo Wa Man...
Ntuzu muda wote mbona yuko hapa?
agosti 8 sijui atakua wapi lakini huenda ktk hii michezo iliyobaki akarudi. Tumuombee uzima tu huko aliko ndugu yetu!
Ntuzu kesho QPR anapigwa ngapi? Leo Arsenal anapigwa na Bunley.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.