Unapopingwa na kuambiwa andiko lako lina shida na haliko sahihi, wewe umekadhana tu kuwaambia wenzako kuwa hawajasoma andiko vizuri.
Acha dharau na kujiona mama unajua kila kitu mkuu, huku ukijifanya mstaarabu kutumia lugha ya kupumbaza.
Mkuu, nimepitia andiko lako lote na nimekuja na vitu vifuatavyo;
1. Ni andiko zuri, liknakombusha wajibu wa madaktari na wahudumu wa afya katika kujali na kutibu wagonjwa mbalimbali kwa ufanisi. Hapo madaktari wanachakiijufunza kwa baadhi ya points ulizozitoa
2. Pamoja na hayo yote, uzi wako...
Soma kwa akili wewe kijana! Kwani nimezuia SGR isijengwe au?
Nimesema ijengwe lakini sio kwa watu wateseke! Jenga huku unaajiri watu na kuwaongezea mishahara yao!
""Mbali na hayo Bakwata inakabiliwa na baadhi ya changamoto ikiwemo ukosefu wa mafunzo ya uongozi kwa viongozi hao kutoka ngazi zao za juu pamoja na vitendea kazi kama vile kompyuta.""
Sasa unategemea nini kwa viongozi kama hawa?[emoji19]
Mkuu sasa misaada yao kama USD 300 Million walizozitoa mbona hamzikatai?
Mwanamke anayekukataa hadharani huku akila pesa yako sirini,huyu tunamuitaje lakini?
Kama nyie ni wanaume kataeni misaada yao ili taifa huru mnalolitaka lipatikane!
Kwa hiyo ni sawa baba kununua gari nyumbani huku watoto wakishinda na njaa kisa tu hilo gari watoto hao watapanda??
Maendeleo ya vitu ni mazuri mno kama tu yatafanyika without expenses za maendeleo ya watu.
Yaani ndege zinunuliwe huku ajira za kutosha zitangazwe na vijana wapate kipato.
Yaani...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.