Recent content by Vladimirr

  1. Vladimirr

    JamiiForums Tanzania Bikira Maria mama wa Yesu Alikufa ?

    Hujaelewa kauliza hivi sababu yesu alipaa mbinguni je mama yake alikufa au na yeye alipaa ndio nilivyo muelewa mimi
  2. Vladimirr

    JamiiForums Tanzania Madhila yote ya Utekaji Samia hajawahi kukemea

    Binafsi simuoni huko yupo aliye nyuma yake samia hawezi panga vitu vikaenda systematically hivyo Huyu mzee wa Msoga ndio kila kitu
  3. Vladimirr

    JamiiForums Tanzania Natamani kula nyama pori nani mwenye kibali cha kuuza nyama pori kwa hapa Dodoma na anapatika maeneo gani

    Ipo Chang'ombe tembelea maeneo hayo kuna butcher la nyama pori
  4. Vladimirr

    JamiiForums Tanzania Gari IST au spacio inahitajika

    Kuna jamaa yupo urambo anauza namba d milioni 10
  5. Vladimirr

    JamiiForums Tanzania Napendekeza Tundu Lisu aachiwe huru kwa mujibu wa sheria, akamatwe tena na kufunguliwa mashtaka upya yenye ushahidi mpya uliothibishwa.

    Sheria gani ambazo aamua amezipata bila kukiuka tuanzie na aamua alafu tumaliyna lissu
  6. Vladimirr

    JamiiForums Tanzania Ipi siri nyuma ya mabinti katika shule za sekondari na msingi allegedly kuanguka na mapepo. Ni acting, afya ya akili, ishu ya saikolojia au kiroho?

    Kiukweli hata mimi najiuliza kipindi nasoma iliwahi kutokea nailifululiza shule nyingi leo huu kesho nyingine tena kwa mstari Baadae tunaambiwa ni mambo ya kisaikolojia then kesho yake ndani ya shule yetu nakumbuka alifukuliwa mbuzi sikuwahi kujua exactly ni nini lakini haya mambo bwana...
  7. Vladimirr

    JamiiForums Tanzania JF members waliopotea siku nyingi jukwaani

    Miss chaga huyu dada alikua charming sana nampenda walay
  8. Vladimirr

    JamiiForums Tanzania Vituko na vimbwanga safarini

    kingine hicho
  9. Vladimirr

    JamiiForums Tanzania Tukifungwa hii mechi na kocha afukuzwe

    Hana muda mrefu huyu kocha tusiwe wanafki
  10. Vladimirr

    JamiiForums Tanzania Nyota ya Kikwete yazidi kung'ara. Ateuliwa kuwa Mwenyekiti wa Tuzo ya Chakula Afrika/AFP

    [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
  11. Vladimirr

    JamiiForums Tanzania Aston villa anaendeleza kupiga kwenye mshono

    Wee arsenal anaongoza huko
  12. Vladimirr

    JamiiForums Tanzania Kwanini Mungu alikubali mwanae pekee afe ili tuokolewe na sio kumuua shetani aliye chanzo cha dhambi zote?

    Binafsi hainiingii akilini kama mungu angekua binadam ningesema sio mzima Jaman tuombeni sana tuujue ukweli hizi dini hizi
  13. Vladimirr

    JamiiForums Tanzania GSM na Yanga SC huu Uhuni ipo Siku utawagharimu na mtalaanika vibaya sana

    Hivi ihefu kwa kiwango gani ilichoonyesha cha kumzuia yanga hata kama kocha nabi angekabiziwa ingefungwa tu mkuu kocha wao kafukuzwa kwa kutotimiza malengo ya club sio kutokuizuia yanga
  14. Vladimirr

    JamiiForums Tanzania Mawasiliano na mpenzi wako

    Kuwasiliana muda wote 24/7 na kuongea nonsens[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Back
Top Bottom