Recent content by Vladimirr

  1. Vladimirr

    JamiiForums Tanzania Askari Polisi: Polisi ni kitu chako cha ukweli ukwelii, anayemchukia Polisi ni kama unajichukia Mwenyewe

    Kuna siku nilikuwa naendesha gari ikatokea askari wawili wamepakizana kwenye pikipiki mbele yangu wanataka kukatiza while mimi nipo speed kubwa coz nilikuwa nawahi msafara uliokuwa unakuja nyuma yangu (kukimbiza gari yalikuwa maelekezo kwa ishara niliyopewa na trafiki aliyekuwa mbele yangu) basi...
  2. Vladimirr

    JamiiForums Tanzania Walichokifanya Madee na Babu Tale ni chukizo mbele ya Allah. Sijapendezwa nalo

    Rejea vitabu haikuja hivyo
  3. Vladimirr

    JamiiForums Tanzania Umuhimu wa Mahali Sahihi

    Maneno kuntu ila hiyo dp ndiyo inahalibu
  4. Vladimirr

    JamiiForums Tanzania Baraza kuu la CHADEMA linapigwa chenga huku linalishwa na hela za donation na ununuzi wa Gali la Lissu ulipigwa chenga mwisho wa siku hela zikagongwa

    He he hajawahi kusema kama pesa imeisha wewe ambaye unataarifa kuhusu pesa za chadema tuambiwe na tupe bank statement tukiamini wewe sasa maana wewe ndio mjuzi kuliko sisi wenye chama
  5. Vladimirr

    JamiiForums Tanzania Choku wa kenya hamkuti dayon monson wa Tz.

    Kwa hiyo unaleta bandiko hapa kusifia mashoga wanaume wanaoliwa daaah fikiria ulipotoka na mshukuru sana babaako kwa uamuzi wake usituletee ujinga hapa
  6. Vladimirr

    JamiiForums Tanzania Baraza kuu la CHADEMA linapigwa chenga huku linalishwa na hela za donation na ununuzi wa Gali la Lissu ulipigwa chenga mwisho wa siku hela zikagongwa

    Binafsi sioni shida nilichanga sijui wewe mwana CCM Kwani ulishawahi kuhoji pesa za hizi marathon zenu matumizi yake au ya ya chadema ndio yamekukaa kichwani tu
  7. Vladimirr

    JamiiForums Tanzania Baraza kuu la CHADEMA linapigwa chenga huku linalishwa na hela za donation na ununuzi wa Gali la Lissu ulipigwa chenga mwisho wa siku hela zikagongwa

    Hii mkutano unawahusu chadema wenyewe wewe haukuhusu ndiyo maana huelewi
  8. Vladimirr

    JamiiForums Tanzania Inshaallah Roberto Carlos asilimu na kuwa "Muislamu"

    Inshaallah ni akipenda mwenyezi Mungu na mashallah ni apendavyo mwenyezi Mungu (jambo linalo au lililompendeza) Sasa embu unganisha hiyo sentensi yako kwa kutumia maana hizo
  9. Vladimirr

    JamiiForums Tanzania Inshaallah Roberto Carlos asilimu na kuwa "Muislamu"

    Hapo ulitakiwa useme mashallah sio inshaallah
  10. Vladimirr

    JamiiForums Tanzania Ni wimbo gani unaoutafuta sana bila mafanikio?

    Meg birch photograph mwenye ako nayo anisaidie
  11. Vladimirr

    JamiiForums Tanzania Ushauri wangu kwa wamiliki wa ma bus ya mikoani

    H haya yamewezekana tanga dar wanashindwaje
  12. Vladimirr

    JamiiForums Tanzania Bikira Maria mama wa Yesu Alikufa ?

    Hujaelewa kauliza hivi sababu yesu alipaa mbinguni je mama yake alikufa au na yeye alipaa ndio nilivyo muelewa mimi
Back
Top Bottom