He he hajawahi kusema kama pesa imeisha wewe ambaye unataarifa kuhusu pesa za chadema tuambiwe na tupe bank statement tukiamini wewe sasa maana wewe ndio mjuzi kuliko sisi wenye chama
Kwa hiyo unaleta bandiko hapa kusifia mashoga wanaume wanaoliwa daaah fikiria ulipotoka na mshukuru sana babaako kwa uamuzi wake usituletee ujinga hapa
Binafsi sioni shida nilichanga sijui wewe mwana CCM
Kwani ulishawahi kuhoji pesa za hizi marathon zenu matumizi yake au ya ya chadema ndio yamekukaa kichwani tu
Inshaallah ni akipenda mwenyezi Mungu na mashallah ni apendavyo mwenyezi Mungu (jambo linalo au lililompendeza)
Sasa embu unganisha hiyo sentensi yako kwa kutumia maana hizo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.