Sawli gani hili?!Bikira Maria mama yake Yesu alikufa?
Hujaelewa kauliza hivi sababu yesu alipaa mbinguni je mama yake alikufa au na yeye alipaa ndio nilivyo muelewa mimiSawli gani hili?!
Kwamba anaishi hadi leo. 🤔
Anhaa! Sasa nimeelewa.Hujaelewa kauliza hivi sababu yesu alipaa mbinguni je mama yake alikufa au na yeye alipaa ndio nilivyo muelewa mimi
Historia kila mtu anaandika anachotaka maana hizo historia zina makaburi mawili tofauti ya Maria (Jerusalem na Efeso). Ina maana walimgawa vipande?Kuna historia zinasema kaburi lake lipo, pia kwa Mary Magdalene na Elizabeth.
Bwashe huwa nachanganyikiwa kwani Yesu ni Mungu au Mwana?Yesu na mama yake wote walikufa na kuliwa na mchwa ,ila kwa imani unaweza sema walapalizwa mawinguni
Hapana yupo LomboBikira Maria mama yake Yesu alikufa?
MoshiLombo ni wapi?
RomboMoshi