Habari za asubuhi wakuu,mie nafatilia vizuri sana huu uzi na niliisha wahi kuchangia kipindi cha nyumba,Kama kwenye huu uzi kuna wadau wanaoishi zanzibar naomba mni PM ili tuweze kuweka mpango mkakati wa kukutana na Ontario,kipindi cha nyuma aliwahi kuniambia zenji ni Kama nyumba kwa pili kwake...
Ni kweli kabisa Prison Island ni sehemu nzuri sana kurelax,Mie ni tour guide hapa Zanzibar kwa hiyo huwa nawatembeza watalii kwenda sehemu mbali mbali za kisiwa hiki kuona vivutio vilivyopo,na prison island ni sehemu nzuri sana,nitajitahidi sana kulifanyia kazi suala la kumobilize watu ili...
Asante sana mkuu Ontario,nimefatilia uzi wako tokea day 1 na nimeisha a za kuzijua ABC za Forex,Mie naishi Zanzibar,na nikwambie ukweli kuwa Watu waliopo huku zenji na waofatilia jamiiforum hasa Uzi huu (nawafahamu wachache) tunatamani sana uje zenji japo kwa darasa la siku 1 tu,Tupo tayari...
Mimi ninalima matikiti na kesho tarehe 10 ndio ntaanza kupanda shamba la ekari 3.5 ,hivyo natarajia kuvuna mwezi wa 8 mwanzoni kama kila kitu kitaenda sawa,kupeana mawazo na ushauri katika kilimo hichi naombeni mniadd ktk group lenu la watsapp 0654947055,tushauriane kuhusu kilimo na masoko yake
Unatuwakilisha vizuri sana kwa wale tuliosoma ulaya mashariki,ila tunaonekana makauzu which is Gud smtym, umenigusa sana ishu ya online dating hasa ya pale hizo tulizosomea,ki ukweli zimekaa vizuri sana na longolongo si nyingi kama bongo,ila poa bongo Ni home na tunakomaa nao kama kawa,endelea...
Hebu nitajie hiyo hoteli inayomlipa receptionist laki 5 kwa mwezi,hoteli 5 star ndo zinaongoza kuwalipa wafanyakazi mishahara midogo hapa zenji,na Kama hutaki unafukuzwa wana chukua ma trainee,mshahara wa receptionist ni kuanzia 120000 - 300000 endapo tu utakuwa na experience kubwa, wahudumu wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.