kwa nini wanatumia hela nyingi sana kwa zoezi la kutangaza nia? mbona ukiitisha press conference inatosha tu! lakini mbwembwe nyingi utafikiri chama kimeshawateua!
Pia wajapani, wakorea, (korea kaskazini ndyo kabisa hata cha kusalimia hawawezi lakini wana makombora ya nuclear)
Rais wa Mozambique alipotutembelea TZ aliongea kwa Kireno, ingawa anauwezo wa kuongea kiswahili na Kingereza cha kueleweka.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.