Utingo
JF-Expert Member
- Dec 15, 2009
- 10,265
- 8,094
Hivi itakuja kutokea na sie viongozi wetu achilia mbali rais akawa na watoto wapo jeshini, waalimu, polisi, magereza, kufanya kazi kwenye halmashauri, na si kwenye makampuni makubwa makubwa na zile taasisi nyeti
Rais kuingiza watoto wake jeshini ni dalili ya insecurity na udikteta...kila wakati ana hofu ya kuuawa