Recent content by virgin virgin

  1. virgin virgin

    NIMECHAGULIWA KUSOMA SHERIA katika chuo fulani hapa tanzania kwa yeyote mwenye ushauri KARIBU

    habari za wakati huu wana jf natumaini ni wazima na mnaendelea vizuri na majukumu yenu moja kwa moja kwenye mada mimi nikijana umri 20`s nimechaguliwa kusomea sheria kwenye ngazi ya degree mwaka 2017/2018 katika chuo fulani hapa nchini naweza sema hii ilikua ni ndoto yangu nasio kwasababu ya...
  2. virgin virgin

    University admission results updates (Matokeo ya udahili vyuoni)

    sidhani kama leo kutakua na kitu bora tukafanye mambo mengine tu kama nawaona vile walioomba vyuo viwili au kimoja na D‘s zao hadi huruma tusubirie labda kesho tena.............. *virginboy*
  3. virgin virgin

    University admission results updates (Matokeo ya udahili vyuoni)

    me naomba kuuliza ni wapi walisema watatoa tarehe 2.10.2017 na mtoe na source maana....... *virginboy*
  4. virgin virgin

    Hamuniwezi, Nimegundua kuna WanaJF wanamhonga Maxence Melo na Mods ili nipigwe BAN

    huu uzi hauna maisha kabisa nadhani mnajua mods hawajawah kumuacha mtu salama *virginboy*
  5. virgin virgin

    Kuna kukosa mkopo anza kujiandaa kisaikolojia

    wa tz hatupendi kuambiwa ukwel sirikali haina pesa kama sivyo bombadia yetu ungekuta imesha lipiwa ikaja maana baba jeska anavyopenda sifa mmmmmh kwahyo preparation ni muhimu *virginboy*
  6. virgin virgin

    Wadau naomba mwenye vitabu vya waandishi hawa

    ngojea mimi nipite zangu maana hao hata siwajui mimi niulize wakina Ngugi,shabanRobart,chinuaAchebe hao ndo nawajua *virginboy*
  7. virgin virgin

    Mama mwenye nyumba anataka kuniozesha mwanae kwa kinguvu nguvu

    humu MMU kumejaa story za uongo na zakutunguka we “Beira Baby Boy” kila siku unakuja na mpya mara hivi mara vile skunyingine ukirudia ni viboko *virginboy*
  8. virgin virgin

    Wanawake hayo yote kwa ajili ya nani?

    soma maandiko mkuu yakutoe upumbavu mwanamke amefananishwa na pambo kwenye bible na maana ya pambo ni kitu ambacho kinakupa furaha muda wote ukikizama kwa uzuri wake iv utaridhika kula wali nyama kila siku??? nooooo siku nyingine inabidi ule ugali ule ndizi na nk, hivyo hivyo kwa wanawake...
  9. virgin virgin

    Kama huna ndoa bado hujapata raha ya dunia

    me sipo kwenye ndoa na sigemei kwa kipindi hiki labda baada ya miaka 10 baadae nikija kwenye mada mimi naona hiyo heading yako ingekaa hivi “kama wewe ni mwanamke huna ndoa basi hujapata raha ya dunia” sababu mimi naona mwanamke akiolewa kwanza inamjengea heshima kubwa pia anakua ametimiza...
  10. virgin virgin

    Kibamia Kimemchanganya

    unaambiwa iv mtu mfupi ndio aliegundua ngazi kwahyo hata wenye vibamia nao wanamautundu yao ambayo wengine ambao tuna mihogo hatuijui na sio dhambi anapamba na hali yake Lakini kunabaadhi ya wanawake kichwani hakunakitu yaani mnakaa mnaanza kuadithiana mnavyo liwa hizo papuchi loooooh...
  11. virgin virgin

    Nimeoa, mke wangu amekuwa jeuri na kiburi mpaka nachanganyikiwa; natamani kuvunja ndoa!

    kama kweli unataka ushauri wa kuokoa ndoa yako sema ni sababu ipi imefanya abadilike (hii ni lazma unaijua) tutakupa ushauri wa kukata matawi wakati shina na miziz ipo kwenye mkondo wa mto *virginboy*
  12. virgin virgin

    Wakinamama wanaolea watoto bila baba (single mothers): Sababu, athari kwa mtoto, changamoto na mitazamo ya jamii

    source ikowapi ya huo utafiti wako??? hoja yako ni dhaifu sana mimi ni mmoja nilie lelewa na mama tu lakini alinilea katika misingi mizuri na yenye maadili mambo ya kuchezea kichapo na kuoga matusi source yake sio u-single mother inategemea na mazingira manayoishi na tabia za wazazi wenyewe...
  13. virgin virgin

    Nimefikia kwa Mchumba wangu, ila rafiki yake ananitaka, nifanyeje?

    hii sasa kali yaan wewe ambae unatakwa hujui chakufanya sisi ambao hatuhusiki et ndo tukushauri duuu naomba niishie hapo *virginboy*
Back
Top Bottom