amos eglan
JF-Expert Member
- Sep 27, 2015
- 310
- 462
Habari zenu wana jukwaa napenda kuwashauri kitu madogo wanaotarajia kujiunga na vyuo vikuu haswa wa masomo ya sanaa kwamba mjiandae kisaikolojia pindi mkikosa mkopo au wazazi na ndugu waanze kujipanga mapema lipitishwe bakuli mje kukaza
Maana shida huja pale kila mtu anapofikiri kwamba kwa kuwa ameomba mkopo basi atapata tu
Madogo hii bodi ya mkopo ni pasua kichwa maana kila siku inaleta vigezo vipya.Nadhani masekeseke ya mkopo mmeyasikia wenyewe muda mwingine kupata ni zari tu
Sasa Kama unataka kusoma jiandae tu kupambana na hali yoyote itayotokea Kama ni pasi ndefu a.k.a mlo mmoja ,watoto wa kike siku hizi madanga hamna hali imekuwa ngumu muanze donation mapema Kama familia na ndugu jamaa siwatishi lakini napenda kuwapunguzia maumivu lolote likitokea
Ushauri tu
Maana shida huja pale kila mtu anapofikiri kwamba kwa kuwa ameomba mkopo basi atapata tu
Madogo hii bodi ya mkopo ni pasua kichwa maana kila siku inaleta vigezo vipya.Nadhani masekeseke ya mkopo mmeyasikia wenyewe muda mwingine kupata ni zari tu
Sasa Kama unataka kusoma jiandae tu kupambana na hali yoyote itayotokea Kama ni pasi ndefu a.k.a mlo mmoja ,watoto wa kike siku hizi madanga hamna hali imekuwa ngumu muanze donation mapema Kama familia na ndugu jamaa siwatishi lakini napenda kuwapunguzia maumivu lolote likitokea
Ushauri tu