Kama huna ndoa bado hujapata raha ya dunia

Kama huna ndoa bado hujapata raha ya dunia

Walio ndani wanatamani kutoka, na walio nje wanatamani kuingia...[emoji2] [emoji2] [emoji2]
 
me sipo kwenye ndoa na sigemei kwa kipindi hiki labda baada ya miaka 10 baadae

nikija kwenye mada mimi naona hiyo heading yako ingekaa hivi “kama wewe ni mwanamke huna ndoa basi hujapata raha ya dunia” sababu mimi naona mwanamke akiolewa kwanza inamjengea heshima kubwa pia anakua ametimiza ndoto yake ya miaka mingi na mengineyo ila kwa mwanaume ndoa ni kama kitanzi yaani unajitundika mwenyewe kwanini???.........
 
me sipo kwenye ndoa na sigemei kwa kipindi hiki labda baada ya miaka 10 baadae

nikija kwenye mada mimi naona hiyo heading yako ingekaa hivi “kama wewe ni mwanamke huna ndoa basi hujapata raha ya dunia” sababu mimi naona mwanamke akiolewa kwanza inamjengea heshima kubwa pia anakua ametimiza ndoto yake ya miaka mingi na mengineyo ila kwa mwanaume ndoa ni kama kitanzi yaani unajitundika mwenyewe kwanini???.........
hata Men pia wanahusika mkuu
 
Ndoa ni kitu cha kheir kwa kua niahadi kutoka kwa mungu!
Pia ndoa inaheshima kubwa kwa jamii ukiwa mke wa m2 au Mume wa m2 unacheo alichokupa Mungu ht maisha huwa yanabadilika
Neno NDOA lina raha yake na tabu zake km mungu atakujali kupata Mume mwema au Mke mwema utaishi maisha ya Aman na fraha sn ila km hauta bahatika ktk ndoa yako kwakweli Maisha yko yatakuwa yaco na fraha kabsa utakuwa km umepungukiwa ki2 ktk maisha yako kwa kuwa huna Aman ya moyo
 
Ni raha zipi anazopata aliye katika Ndoa ambazo asiye na Ndoa hazipati?
 
Ndoa ni mpango wa Mungu. Tangu mwanzo Mungu aliwaunganisha mwanamume na mwanamke kuwa mume na mke , waishi na kuambatana na kuzaa.

Na kwa kuishi maisha hayo, wanandoa wanakuwa wanaishi maisha ya kufurahi na kufurahiana mno katika maisha yao ya kila siku. Hakuna kuchokana, hakuna kuonana kawaida, kila siku ni kama mmeoana jana.

Niko kwenye ndoa miaka mingi tu, na kila siku ni kama nimeoa jana tu. Huwa naiona miaka imesogea nitazamapo watoto namna ambavyo wamekuwa wakubwa.
 
Back
Top Bottom