Hivi umesoma hiyo habari kwa undani ukaielewa?sidhani kama kila thread kulalamika namna hii itasaidia uwezo wa kushindana na Serikali hauwezi so ni bora kila mtu apambane na life tupate ugali wa wanaotutegemea maisha yaendelee na mleta thread English imemuacha mbali sana alichokiandika na habari...
Sema wewe ndio una maisha magumu au uchumi unakusumbua kuna watu wanaendelea kushusha mijengo kwa uchumi huu tulionao ujenzi ni akili yako,kujibana na kuamua kila kitu tutalaumu tu Kizimkazi kizimkazi amka pambana maisha yenyewe mafupi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.