Jamani hii nchi inakoenda sielewi ivi wanajua mfanyabiashara anatoa mzigo bandarini kwa millioni ngapi. Haya madaraka tumkabidhi nani 2015 atake kuwa na akiri za kufikiria sio kuhisi na kufanya maamuzi kama serikali yetu ya sasa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.