Recent content by Vicent Goodluck

  1. V

    Bwana Kiranga atakuwa mhubiri mzuri wa habari za Mungu hapo baadae

    Nyie mnaosema hayupo tunaomba mthibitishe hayupo,,, Thibitisha Mungu hayupo,,
  2. V

    Hili jambo linaudhi sana...

    Ndio lakini wakopeshaji wengine wanataka mpaka vote ID,, Cha utaifa, uraia umpe ili ushindwe kumzunguka
  3. V

    Hili jambo linaudhi sana...

    Anaachiwa na pin mshahara ukitoka anakata chake na riba,, inakera sana Mkuu hii kitu Japo kuna Changamoto ya wafanyakazi wengine kutoa hela kupitia mobile money service ,,ukitoka tu anatoa yote anakuambia bado hawajaweka,, unatakiwa ujue kutime ukitoka mnawahiana kwa wale ambao siyo waaminifu,
  4. V

    Hili jambo linaudhi sana...

    Kweli Mkuu,, unakuta una mshahara wa 500,000/= unakopa laki tatu kwa mtu,, dhamana inakuwa kadi ya bank, mshahara ukitoka anakata yake anakurudishia kadi yako Maisha mengne yanaumiza sana,, basi tu
  5. V

    Hili jambo linaudhi sana...

    Ndio,, ukiwa na shida ufahamu unakimbiaga wakti mwengine
  6. V

    Ulimwengu wa vivazi: Dada etu nae yumo!

    Kuna kitu nimekiona,
  7. V

    HDMI to VGA CONVERTER

    OTG ndo nini tafadhali!
  8. V

    Mohamed Dewji (MO) aliyepotea, apatikana. Amerudi nyumbani akiwa salama

    Mungu ni mwema kwa wote,, Wale mlio kuwa mnaiwinda billion moja poleni
  9. V

    Malapulapu ya Mbwa wanakula wanadamu, sasa mbwa atakula nini?

    Watu wa mjini baadhi yao ndo wanakula utumbo wa kuku , miguu ya kuku , mapafu ya ngombe,, mfumo wa uzazi wa ngombe jike wanakula pia, vichwa vya kuku kama kiteweo,, Unakuta sufuria limejaa miguu ya kuku, vichwa na mapafu ya ngombe yanaelea elea tu, Lakini ni maisha tu na sis wa mkoani...
  10. V

    Viunga vinavyobamba Dodoma

    Nenda kaoshe tu,, ndo ukubwa huo ukimaliza njo hapa maeneo karibu na ya ofisi za mauzo za tigo,, nikwambie kitu changu,,,
  11. V

    Viunga vinavyobamba Dodoma

    Nina uhakika wa 100% hunujui,, na mm sipo teari kukutana na mwana JF yoyote yule,,
  12. V

    Viunga vinavyobamba Dodoma

    Afu nakujua vyema,, but Kikubwa ni kuheshimiana na kuwa na mipaka ya JF ni JF na hapa mjini ni ya hapa mjini Usiofu,, kuwa na aman tele,,
  13. V

    Viunga vinavyobamba Dodoma

    Nachukua chumba p. a. h. I utanikuta,, tuje tupumzke weekend ndo hi sasa,,
Back
Top Bottom