Anaachiwa na pin mshahara ukitoka anakata chake na riba,, inakera sana Mkuu hii kitu
Japo kuna Changamoto ya wafanyakazi wengine kutoa hela kupitia mobile money service ,,ukitoka tu anatoa yote anakuambia bado hawajaweka,, unatakiwa ujue kutime ukitoka mnawahiana kwa wale ambao siyo waaminifu,