amu
JF-Expert Member
- Aug 8, 2012
- 16,143
- 31,275
Sawa, ila hawa kuku nliotafuna nawalipaje?nakutegemea ujue njoo uokoe jahazi kabla sijapelekwa kuosha vyombo.Nina uhakika wa 100% hunujui,, na mm sipo teari kukutana na mwana JF yoyote yule,,
Sawa, ila hawa kuku nliotafuna nawalipaje?nakutegemea ujue njoo uokoe jahazi kabla sijapelekwa kuosha vyombo.Nina uhakika wa 100% hunujui,, na mm sipo teari kukutana na mwana JF yoyote yule,,
Aliyekwambia tunahitaji kuifikia Dar nani? Sisi tunajenga Jiji letu kivyetu hata hizo ramani zenu hatuzitaki, jiji la kiangazi, masika vinyesi Jiji zima! ukisikia mafuriko Dodoma Ni kwamba hatuna jinsi sio yenu ya kujitakia, subiri muone. niishie hapoBado sana hadi waifikie dasalamu
Hakikisha kila ukipita hizo sehemu uwe unachekicheki kama utabahatika kumpata MO Dewji!Nakutakia maakuli mema na barza jema!




Hakikisha kila ukipita hizo sehemu uwe unachekicheki kama utabahatika kumpata MO Dewji!Nakutakia maakuli mema na barza jema!




Laiti angejua anakosa vitu vitam asingesema hivyoSawa, ila hawa kuku nliotafuna nawalipaje?nakutegemea ujue njoo uokoe jahazi kabla sijapelekwa kuosha vyombo.
DoAliyekwambia tunahitaji kuifikia Dar nani? Sisi tunajenga Jiji letu kivyetu hata hizo ramani zenu hatuzitaki, jiji la kiangazi, masika vinyesi Jiji zima! ukisikia mafuriko Dodoma Ni kwamba hatuna jinsi sio yenu ya kujitakia, subiri muone. niishie hapo
Sawa, ila hawa kuku nliotafuna nawalipaje?nakutegemea ujue njoo uokoe jahazi kabla sijapelekwa kuosha vyombo.
Unaweza usiwe mkazi wa eneo tajwa but u have been there kwa muda fulani ambao umekufanya kujua vitu vya msingi!JF,huwa nashindwa kupaelewa cuz ukileta topic za Dsm kila mmoja anashuka as if yupo Dsm na ukileta topic ya Dom kila mmoja anaoneka ni mkazi wa Dom,the same case to Mwanza,Arusha etc!
Watoto wakaree wapo Arusha+Moshi!Kubaya ila kuna watoto wakale