Vicent Goodluck
Member
- Oct 7, 2018
- 61
- 69
Kama ni ATM card tu si mtu anaweza kumuachia halafu anaripoti imepotea anapewa nyingine?
Ndio lakini wakopeshaji wengine wanataka mpaka vote ID,, Cha utaifa, uraia umpe ili ushindwe kumzunguka
Kama ni ATM card tu si mtu anaweza kumuachia halafu anaripoti imepotea anapewa nyingine?
Kuna taasisi fulani naifahamu, inatumia huu mtindo.Aliyekwambia huyo ni MWALIMU ni Nani? Huyo ni mkopeshaji wa riba kubwa, hapo wadeni wamemwachia ATM Cards kwa riba ya 30%permonth na inatozwa mseleleko. Hiyo ndo hali ya watumishi wengi nchini.
Duh!Aliyekwambia huyo ni MWALIMU ni Nani? Huyo ni mkopeshaji wa riba kubwa, hapo wadeni wamemwachia ATM Cards kwa riba ya 30%permonth na inatozwa mseleleko. Hiyo ndo hali ya watumishi wengi nchini.

Kuna mapungufu makubwa sana katika mifumo yetu ya ajira, benki sheria na usalama.Ndio lakini wakopeshaji wengine wanataka mpaka vote ID,, Cha utaifa, uraia umpe ili ushindwe kumzunguka
Aliyekwambia huyo ni MWALIMU ni Nani? Huyo ni mkopeshaji wa riba kubwa, hapo wadeni wamemwachia ATM Cards kwa riba ya 30%permonth na inatozwa mseleleko. Hiyo ndo hali ya watumishi wengi nchini.