Kila siku nakikaa kuwaza hili najikuta nimezubaa bila kupata jibu, swali langu ni je sisi tusio na nafasi za kuteuliwa serikalini tutaonekana vipi mbele ya macho ya JPM?
Ninauliza hivi kwakuwa kwenye vyombo vya habari wanaonekana mawaziri, wakuu wa mikoa, wakuu wa wilaya, wakurugenzi wa wilaya...
Sisiemu ni taasisi inayojitegemea, wanatumia pesa zao katika hilo na magufuli ni mualikwa tu, sherehe zinaandaliwa na katibu (kinana) na chair wake (jk wa pili) usichafue jina la magufuli mura.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.