Hongera sana mkuu, una kipaji kikubwa sana ambapo wengi wetu hatuwezi kusimulia kwa ufasaha kiasi hiki hata kama kisa kimetokea miaka miwili iliyopita.
Sent using Jamii Forums mobile app
Huyo ni wale waliokimbia chama tawala baada ya majina yao kufyekwa 2015. Bado hajakomaa na kuweza kuaminiwa kiasi icho kushika iyo nafasi. Ila kama watafanya kama walivyompa mzee mamvi 2015 basi wakubali kutumbukia shimoni.
Ukweli ni kwamba huyo aliyejitokea hafai, namfahamu vyema hana character nzuri, nilishakutana nae kwenye huduma flani ambayo iliniwezesha kumfahamu ni mtu wa aina gani.
Kama chadema wanahitaji mabadiliko basi wawe makini sana na mrithi wa Mbowe.
1:Shamba kiwangwa bago acre 40 full docoment kilomita 2:5
Acre 1,shilingi 600,000
Mazungumzo yapo unaweza kununua acre 10 milion 6 zote mazungumzo yapo:
Naomba maelekezo ya hii mkuu?
Ni kweli kabisa hata mm imenikuta jana tu, range ilikua ni 4000 -6000 lakini ikaja kumi na moja, afu hakukua hata na foleni. Nilipatwa na mshangao ila sikujua pa kuliuliza hili suala.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwan huyo demu wake ni wa biashara au? Mbona kama anampigia promo? Huu ni ulimbukeni sana? Mahusiano ni yy na mtu wake yann kuyapeleka kwenye vyombo vya habari?! Afu naona kama ni mwanaume asiyejiamini
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.