Recent content by Vendelini mbuya

  1. V

    Wanawake kubania unyumba ni sababu kuu ya wanaume kutoka nje ya ndoa

    Umenena. Ukichepuka wakigundua wanakuliza nini unakosa nyumbani.
  2. V

    Mada maalum ya magari: Uzoefu, ushauri na maswali

    Msaada jinsi ya kuendesha gari ya automatik coaster
  3. V

    Another BossLady in the House, Hodiii

    Mmmm Sent from my TECNO-C8 using JamiiForums mobile app
  4. V

    Nimeamua kujitoa muhanga kwa wife

    Jiunge na makabila jasiri mbona atakimbia mwenyewe. Mkuria na mmasai
  5. V

    Kama dunia ni duara sisi tupo ndani au nje?

    Tuko nje mkuu ndiyo maana tunaliona jua na vua inatu yeshea
  6. V

    Jibu swali langu? Wengi watafeli hesabu yangu

    (5+1)*10=60 5+(1*10)=15 Chagua jibu sahihi halafu toa majibu
  7. V

    Ndio maana alipoahidi kuweka vielelezo vyake hadharani ni miezi 6 sasa hajafanya hivyo?

    Nani anayepaga mishahara ya viongozi wakuu wa nchi yetu? Waulizeni wawaambie. Mm sitaki kujua nani analipwa nini kwani hata nikijua hanilipii ada ya mtoto aliyekosa mkopo. Kila mtu ale kulingana na urefu wa kamba yake.
  8. V

    Majibu ya Waziri Mwigulu Nchemba kuhusu tuhuma za kughushi vyeti vya taaluma, kuiba jina

    Nmefurahishwa na majibu. Swali. Naomba utufafanulie kwa nini ulichukua jina la daktari wakati wewe una jina lako mimi sijaelewa vizuri hapo mweheshimiwa.
Back
Top Bottom