Nani anayepaga mishahara ya viongozi wakuu wa nchi yetu? Waulizeni wawaambie. Mm sitaki kujua nani analipwa nini kwani hata nikijua hanilipii ada ya mtoto aliyekosa mkopo. Kila mtu ale kulingana na urefu wa kamba yake.
Nmefurahishwa na majibu. Swali. Naomba utufafanulie kwa nini ulichukua jina la daktari wakati wewe una jina lako mimi sijaelewa vizuri hapo mweheshimiwa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.