Recent content by Venant Ben

  1. Venant Ben

    Ajali: Treni yaangusha Mabehewa maeneo ya Vingunguti

    watu hawajaiba hata chuma chakavu?
  2. Venant Ben

    Movie review: "VIVA RIVA"

    dogo mwishoni anabakia na hela kibao. . .
  3. Venant Ben

    Ikulu ya 21st Century: Hotuba ya JK kuwa streamed live dunia nzima!

    Washushe kwanza gharama za internet then ndo waje na hizo porojo!mkonga wa taifa sijui unamnufaisha nani?
  4. Venant Ben

    Siri yafichuka wizi wa kompyuta polisi

    Kamanda wa polisi anakanusha kuhusu hizo laptop zilizoibiwa,lakini hataki kusema ni za kesi ipi?hapa napata picha mbili, 1.ni kweli zimeibiwa ila anajipa moyo kua watafanikiwa kuzipata ingawa sidhani kama hawa wezi ni wajinga kiasi hicho. 2.asipofanikiwa kuzipata,basi ndo mwanzo wa kuweka...
  5. Venant Ben

    Baraza la mawaziri latuhumiwa kuhusika na biashara ya madawa ya kulevya

    kila kitu unataka kuleta ushabiki,hebu ingia mtaani uone idadi ya mateja wanavyozidi kuongezeka!mpaka mikoani katika hii miaka ya karibuni rate inaongezeka!mpaka kwa watoto wa sekondari mashuleni huko ni majanga!
  6. Venant Ben

    Ufugaji wa Kuku wa Kienyeji na Masoko yake

    kwa wafugaji wa kuku hapa jf..nahitaji mbolea ya kuku kwa ajili ya kilimo cha matikiti,nipo dar ila shamba lipo mkuranga,naanza mwezi ujao,na ni kwa mara ya kwanza!kama kuna mtu anaweza nisaidia kwa gharama nafuu ili nisafirishe!nahitaji almst 800kg!thanx in advnc
  7. Venant Ben

    Ufugaji wa Kuku wa Kisasa: Fahamu Mbinu, Faida, Changamoto na Masoko

    kwa wafugaji wa kuku hapa jf..nahitaji mbolea ya kuku kwa ajili ya kilimo cha matikiti,nipo dar ila shamba lipo mkuranga,naanza mwezi ujao,na ni kwa mara ya kwanza!kama kuna mtu anaweza nisaidia kwa gharama nafuu ili nisafirishe!nahitaji almst 800kg!thanx in advnc
  8. Venant Ben

    Ufugaji wa Kuku wa Kienyeji na Masoko yake

    kwa wafugaji wa kuku hapa jf..nahitaji mbolea ya kuku kwa ajili ya kilimo cha matikiti,nipo dar ila shamba lipo mkuranga,naanza mwezi ujao,na ni kwa mara ya kwanza!kama kuna mtu anaweza nisaidia kwa gharama nafuu ili nisafirishe!nahitaji almst 800kg!thanx in advnc
  9. Venant Ben

    Natamani kuvuta bange!

    ..weed!!!njoo ujumuike na wenzako huku,
  10. Venant Ben

    Natamani kuvuta bange!

    ukivutia chooni kunatatizo?
  11. Venant Ben

    Nataka kuwa pedeshee

    mbona cmple tu...tupia macheni ya gold,pete za gold vidole vyote ikiwezekana mpaka vya miguuni vaa pia!jitahidi uimbwe imbwe sana katka bendi za bolingo,tafta wapambe uwe unawanywesha wao kazi yao iwe kukusifia tu,thn ukiwa una lafudh ya kikongo itakua poa zaid!
  12. Venant Ben

    Biashara ya Kusafirisha NDIZI toka MBEYA

    swali la nyongeza!canter inaweza kubeba mikungu mingapi,najua zinatofautiana uwezo ktk Tan!ila anayejua tunaomba atufafanulie!
  13. Venant Ben

    Biashara ya Kusafirisha NDIZI toka MBEYA

    mkuu hii post mbona ipo mara 2...anyway idea yako ni nzuri,ngoja tusubiri watu wenye uzoefu watupe somo.
  14. Venant Ben

    Tanzania uchi wa mnyama sasa...

    ..huu uzi kuna watu umewachoma sana!naona tu walivyokuja faster kuharibu mada,but msg sent
Back
Top Bottom