Kamanda wa polisi anakanusha kuhusu hizo laptop zilizoibiwa,lakini hataki kusema ni za kesi ipi?hapa napata picha mbili,
1.ni kweli zimeibiwa ila anajipa moyo kua watafanikiwa kuzipata ingawa sidhani kama hawa wezi ni wajinga kiasi hicho.
2.asipofanikiwa kuzipata,basi ndo mwanzo wa kuweka...
kila kitu unataka kuleta ushabiki,hebu ingia mtaani uone idadi ya mateja wanavyozidi kuongezeka!mpaka mikoani katika hii miaka ya karibuni rate inaongezeka!mpaka kwa watoto wa sekondari mashuleni huko ni majanga!
kwa wafugaji wa kuku hapa jf..nahitaji mbolea ya kuku kwa ajili ya kilimo cha matikiti,nipo dar ila shamba lipo mkuranga,naanza mwezi ujao,na ni kwa mara ya kwanza!kama kuna mtu anaweza nisaidia kwa gharama nafuu ili nisafirishe!nahitaji almst 800kg!thanx in advnc
kwa wafugaji wa kuku hapa jf..nahitaji mbolea ya kuku kwa ajili ya kilimo cha matikiti,nipo dar ila shamba lipo mkuranga,naanza mwezi ujao,na ni kwa mara ya kwanza!kama kuna mtu anaweza nisaidia kwa gharama nafuu ili nisafirishe!nahitaji almst 800kg!thanx in advnc
kwa wafugaji wa kuku hapa jf..nahitaji mbolea ya kuku kwa ajili ya kilimo cha matikiti,nipo dar ila shamba lipo mkuranga,naanza mwezi ujao,na ni kwa mara ya kwanza!kama kuna mtu anaweza nisaidia kwa gharama nafuu ili nisafirishe!nahitaji almst 800kg!thanx in advnc
mbona cmple tu...tupia macheni ya gold,pete za gold vidole vyote ikiwezekana mpaka vya miguuni vaa pia!jitahidi uimbwe imbwe sana katka bendi za bolingo,tafta wapambe uwe unawanywesha wao kazi yao iwe kukusifia tu,thn ukiwa una lafudh ya kikongo itakua poa zaid!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.