Recent content by vematz

  1. vematz

    Incubator Mwanza

    Being?
  2. vematz

    Haya maswali ya Jussa, hakuna mwenye uwezo wa kuyajibu!

    January alisema kwa matokeo tuliyopata had I sasa tuna viti 176,na tunaelekea shinda tutakapopata matokeo rasmi. Tofauti na matamshi ya seif. so usihusishe tamko La January na Maalim at different.
  3. vematz

    Wabunge wa Kamati ya PAC Wachukuliwe Hatua Kali za Kisheria

    Hebu rudi darasani kwanza ukajifunze namna bora ya kuandika tittle maana TANZANIA hii hatuna "WABUNGE WA KAMATI YA PAC"
  4. vematz

    Zitto Kabwe kuhudhuria kikao cha UKAWA wakati huu ni udhaifu mkubwa

    Yegoo nyangeta wanyweee jipilya ja ESCROW? Kwa hiyo we ulitaka acpate sapoti au unadhani CCM a.k.achama cha mamburula kitamsapoti? Lazima aende kwa wajua vi2 wampe kampani...
  5. vematz

    Kishindo IPTL: Yahofiwa Pinda atajiuzulu

    tanzaniakwanza,wezi ndo wale wale waliopambana had kero kwenye BMK.
  6. vematz

    Kuna ulazima wa mke wako kujua misele yako yote kwa 100%?

    Mke c wako, ulimtafuta mwenyewe na sio ndugu/wazazi walikuchagulia,na si unadhan kutoka moyoni mnapendana? sasa why! usimshirikishe? Kama unaweza mshirikisha rafiki iweje ushindwe mke anayekuandalia chakula,lelea watoto? Cha muhimu mke awe rafiki asiwe baby hilo ndo tatizo!
  7. vematz

    Askofu Methodius Kilaini naye alimegewa 80m za mbia wa IPTL

    nafikiri askofu atafafanua kwanin ruge alimpa huto tushilingi kama ni ZAKA kwa ajili ya SAKRaMENTI teh teh teh!
  8. vematz

    Maajabu yatokea alipokuwa akizikwa Nabii Eliya Munuo wa Mbezi Beach

    wafu, acheni wafu wazike wafu wenzao...
  9. vematz

    Namtafuta Mwalimu Martini M. Nandi

    hujui rfa kuna kipindi kinaitwa searchline? Kamtaftie huko,
  10. vematz

    Zitto: Nashambuliwa, tunashambuliwa! PAC tunasema "Hatutetereki"

    Daah! binafsi nimeoanisha hoja ya Nguruvi3 na udadavuzi wa MCHAMBUZI hakika kuna haja za zzk kufafanua hili jambo tena,sitaki amin hoja zimeletwa kwa upinzani. To be frank he and his team are doing a good job on ESCROW issue lakini atatue huu utata basi hata baadaye kama sasa yupo engaged.
  11. vematz

    Miaka 20 Ya Kipanya kuwatetea wanyonge

    We jamaa bhana! ujana unaanzia na kuishia umri upi?
  12. vematz

    Miaka 20 Ya Kipanya kuwatetea wanyonge

    We jamaa kwani umri wa ujana unaanzia na kuishia miaka mingapi? ukiwa unajipanga kukokotoa chukua hii, 1988 alikuwa na miaka16 leo 2014.
  13. vematz

    BED ya distance learning UoA inaquality ?

    Heshima kwenu wanajamvi, Mwenye uelewa wowote kuhusu quality ya batchelor of education inayotolewa na university of Arusha ile unayosoma kipindi cha likizo{JUNE-JULY&DEC-JAN}. Niarifu tafadhali. Asante!!
  14. vematz

    Mbunge bora wa bunge hili la November ni Zitto Kabwe

    Nakuunga mkono na miguu centrehalf.
Back
Top Bottom