Recent content by vegas

  1. V

    Baada ya Utawala wa Magufuli, nini kitatokea?

    Wizara zitakazokua zimehamia Dodoma zitarudisha ofisi zake Dar kutoka Dom
  2. V

    Mkopo wa SGR wa tril 3.3 kwa riba ya 9% kwa miaka 20 tutalipa jumla ya zaidi ya Tshs Tril 7.36 huku riba ikiwa tril 4.06

    Kimbembe kwa walipa kodi, watakao beba mzigo kupitia tozo mbali mbali zitakazoletwa na serikali.walio madarakani wengine hata kodi hawakatwi pamoja na mishahara mikubwa .
  3. V

    Upinzani mmejisahau sana kuhamasisha watu kujiandikisha daftari la wapiga kura!

    Kwani upanzani pake yao ndy wanatakiwa kuhamasisha watu kujiandikisha? Ccm wao wameshajiakikishia ushondi hata bila watu kujiandikisha?
  4. V

    Mfanyakazi anayetuhumiwa kuchoma korani huko Morogoro anahitaji msaada wa kisheria

    Kadhi mkuu ndy anatakiwa kuwa mlalamikaji, Au ilani ya chama chetu iliyoahidi kuanzisha mahakama ya kadhi haijaanzisha mpaka leo? Wanasubiri kampeni zianze watoe tena ahadi??
  5. V

    Masaa 24 yameshapita

    Serikali inawajibu wa kulinda uhai na haki ya raia wake, kama watu wanatekwa, kupotea na kuuwawa na mwenye wajibu wa kuwalinda amekaa kimya inadhani bado haina tuhuma? Na kutuhumiwa siyo lazima waitaje kuwa serikali imrfanya hivi au vile kitendo cha kiongozi wake kutuhumiwa tayari ni serikali...
  6. V

    Hii si sawa, wabunge hawa wachunguzwe rasmi

    Ni suala binafsi, ushoga hauambukizi ( non contegious) so mtu akiamua kufanya ushoga ni yeye. ushoga wa mtu unakuathiri vipi wewe ambaye hufanyi ushoga?
  7. V

    Mafundi makochi Mungu anawaona!

    Wanatumia mbao za box za nyanya kutengeneza sofa unatarajia nini? Mi nikitaka sofa tunakubaliana bei unanunua mbao ninazotaka na godoro ninalotaka mimi hutaki dili limekufa
  8. V

    UPDATES: Madhara ya mvua iliyonyesha jijini Dar - Desemba 17, 2019

    Mafuriko kweli ni janga la asili kama ilivyo majanga mengine, namna ya kukabiliana nayo au kupunguza athari zake ndy tunaonekana wazemba kama Taifa.
  9. V

    Je, zile Juhudi za wale 'Maprofesa' waliomshinda Mkulima Afrika Kusini mbona hatuzioni sasa huko nchini Canada?

    TUache ushabiki na siasa tutazame ishu ya Lissu kurudi kibinadaamu, Alichopitia Lissu inahitaji zaidi ya moyo wa kibinadaamu (Kumbuka Lussu ni binadamu) kurudi kwenye eneo lile lile uliponusurika kifo ikiwa waliojaribu kukuua wakiwa bado wapo na uwezo na mamlaka ya kufanya hivyo tena.
  10. V

    Maeneo gani mazuri kutembea ukiwa Nairobi

    Fikia Kariobangi, uwe unashinda maeneo ya Mathare, Mukuru kwa njenga usisahau kuja Kibra (Kibera) uone flying toilets ni
  11. V

    Wale mnaomshangaa Rais Magufuli kutosafiri nje ya nchi someni ya Tshisekedi

    B Bado na zile zinazobebwa kwenye begi kwa ajili ya kugawa, Kuna zinazogawiwa hadharani kuwahadaa wadanganyika kwamba bwana yule anahiruma na shida zao,
  12. V

    Mh Makonda: Mkandarasi barabara ya Makongo shida nini!

    Barabara 6km inajengwa mwaka mmoja na nusu? Na 4.5 inajengwa ndani ya mwaka mmoja!!! Kuna tatizo mahala, huu uzinduzi ulifanyika baada ya ile kiki ya kuomba hela za ujenzi wa hospitali ya Ubungo na mtu moja kusema kwamba wabunge wa upinzani hawawatei wananchi wao, baada kushambulia ubungo...
  13. V

    Mkurugenzi wa NIDA, Dk Arnold Kihaule ametua mkoani Morogoro akiwa na vitambulisho vya taifa 24,010

    Nadhani hakuelewa malekezo ya Rais, aliagizwa kutatua changamoto za upatikanaji wa Vitambulisho nchi nzima ikiwemo kufungua ofisi kila wilaya akishindwa aanza kuliwalipa gharama za malazi wananchi wanaotoka wilayani kuja mikoani kufuatilia vitambulisho, sasa kwenda na vitambulisho 24 elfu ndy...
  14. V

    Tuna haki ya kususia bidhaa kutoka Canada!

    Yaani niache kuuza Jeans na sport T Shirt za mtumba toka canada halafu nitakula Bombadier?
Back
Top Bottom