Return Of Undertaker
JF-Expert Member
- Jun 12, 2012
- 4,572
- 26,868
- Thread starter
- #21
Ukiwa na shida huwa riba haiangaliwi bali sifaMbona hiyo riba ni kubwa sana. Mabank mengi ya nje riba huwa haizidi 3%
Ukiwa na shida huwa riba haiangaliwi bali sifaMbona hiyo riba ni kubwa sana. Mabank mengi ya nje riba huwa haizidi 3%
Mfugale ilikuwa financed na wajapan....haikuwa kwa fedha zetu za ndani!Walizisema vibaya Bombardiers, sasa hivi wanazipanda na meno wanakenua! Waliisema vibaya Mfugale Flyover, sasa hivi wanapita wamekenua meno. Leo wanisema vibaya SGR, ikiisha wa kwanza kula vishoka kwenye mabehewa! Wajinga na wapumbavu!!!
Investment on SGR is not only tied to business where investment costs have to be returned by profitable business where the equilibrium is attained at an intersection of costs and returns curves! Zitto knows all too well that SGR is a long term Socioeconomic venture! Calculate the NPVs as well on a 20 year term to understand economic viability of the investment, economists have done their job already. The project offers wide ranging benefits including services to citizenry! Rapid transport, reliable transport, durable transport, cheaper transport.....Repayment of the loan is not tied to business profits generated by transportation of goods and passengers in the rapid train system only, but by all taxable busines incomes generated around it which contribute to national GDP in the long run.View attachment 1358881
Kwa mujibu wa Zitto Kabwe mkopo wa ujenzi wa SGR tuliokopeshwa na benki ya Kibiashara tumepewa kwa riba inayoitwa nafuu ya 9% kwa muda wa miaka 20.
Nimejaribu kuichakata kujua hayo malipo tunayalipaje na kaeli reli itazalisha kuaeza kurejesha fedha hizo kwa wakati? Na rejesho kwa mwezi tuzalishe faida isiyopungua bilioni 30 kwa mwezi.
Bandari ya bagamoyo kikwete alitaka kusaini nii!!! Fikiri kabla ya kusemaHalafu Kituko cha Serikali ya Magufuli mkopo unaanza kulipwa hata kabla ya reli kuanza kazi.
Kikwete pamoja na uzembe wake lakini asingeweza kusani mikataba ya kichoko namna iyo.
Huo mkopo ni ghali sana kuu-service.Ukiwa na shida huwa riba haiangaliwi bali sifa
Kweli kabisaaa!!Kama ndege hazijazalisha faida mpka sasa hiyo reli ndio itazalisha faida ya zaidi ya bil 30 kwa mwezi kulipa deni itaweza? Means kwa siku izalishe bil 1
Usalama wa TaifaHuyu Zito ni Taasisi gani hapa Tanzania.??
Kimbembe kwa walipa kodi, watakao beba mzigo kupitia tozo mbali mbali zitakazoletwa na serikali.walio madarakani wengine hata kodi hawakatwi pamoja na mishahara mikubwa .Na hiyo ni iwapo mkopo utaishia hapo hapo, lakini ni dhahiri mkopo zaidi utahitajika ili kazi iishe, ama mradi usikamilike lakini deni liwe kubwa zaidi. Kumbuka hawa wanaokopa sasa kusaka kiki za kisiasa hawatakuwa madarakani na pengine duniani, hivyo ngoma itakuwa kwa watakaokuwepo madarakani.
View attachment 1358881
Kwa mujibu wa Zitto Kabwe mkopo wa ujenzi wa SGR tuliokopeshwa na benki ya Kibiashara tumepewa kwa riba inayoitwa nafuu ya 9% kwa muda wa miaka 20.
Nimejaribu kuichakata kujua hayo malipo tunayalipaje na kaeli reli itazalisha kuaeza kurejesha fedha hizo kwa wakati? Na rejesho kwa mwezi tuzalishe faida isiyopungua bilioni 30 kwa mwezi.
Kwahiyo, kwako wewe huna tatizo na miradi iliyotumia pesa za nje! Ila huipendi miradi iliyotumia pesa za ndani!!? Basi Sawa!Mfugale ilikuwa financed na wajapan....haikuwa kwa fedha zetu za ndani!
Sent using Jamii Forums mobile app
.Ningeshauri kwenye huo mkopo uwanja wa chatto na ile mbuga ya wananyama viwekwe rehani. Siku mabeberu yakija yaje yachukue tu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi ni nani atakuja kulipa hiyo. Kama tunahela kuna ulazima gani wa kukopa trillioni 3 halafu tuje kulipa 7. Kwa nini tuko desperate hivyo?
Member wa taasisi ya umma wa watanzaniaHuyu Zito ni Taasisi gani hapa Tanzania.??
Nangojea siku mzee meko akiwa jukwaani aseme tunajenga kwa fedha za ndani.
Sent using Jamii Forums mobile app
Halafu Kituko cha Serikali ya Magufuli mkopo unaanza kulipwa hata kabla ya reli kuanza kazi.
Kikwete pamoja na uzembe wake lakini asingeweza kusani mikataba ya kichoko namna iyo.