Watu ambao wamekosa kazi serikali mna sumbua sana kujadili maisha ya watumishi. Jikite kwenye maisha yako binafsi sio kujadili maisha ya wengine brother.
mnapenda kuongelea kazi za wengine kwa ujumla sana. Eti aliyefanya kazi miaka 30!!!
No wonder hujui hata utaratibu wa utumishi wa umma jinsi mtu anavyopanda vyeo
kaka habari yako. Hivi naweza kupata full funded scholarship kwa upande wa masters za mathematics?
Kama jibu ni ' yes' naomba vigezo vyake
Sent from my 23106RN0DA using JamiiForums mobile app
Habari mkuu, Kwa mtumishi wa umma lazima uhakikishe unapotaka kuhamia Kuna nafasi. Kama kule kwenye chuo Cha Veta atapata nafasi afanye tu mchakato ni jambo zuri
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.