Recent content by Vanga uvunguni

  1. Vanga uvunguni

    PICHA: Jeraha la dereva aliyeng'atwa na trafiki

    Hahahahaaa...sio kweli mkuu, huyo dereva ni mwenyeji wa mbeya mjini....kule tunduma alikua ameenda kupeleka mbao Sent using Jamii Forums mobile app
  2. Vanga uvunguni

    Ni kosa la kiufundi au ni makusudi??

    Anaitwa Subhash Patel, tajiri namba saba tz kwa mwaka jana Ndo anamilik maji ya Sayona na soda zake, bati za chapa kiboko
  3. Vanga uvunguni

    Hukumu iliyotabiriwa

    Duuh, hata iweje? Hizi kauli mnavozitoa mnakua mpo karibu na Magu nn? Njaa mbaya sana
  4. Vanga uvunguni

    MeTL GROUP, BAKHRESA GROUP Kampuni kubwa Tanzania zisizojali Wafanyakazi wake

    Haya mawazo ndo huwa nayakataa.....eti mshukuru Mungu kwa kila jambo Unajuaje, labda wakinilipa vizuri naweza kuajiri watanzania wenzagu...sio hivyo tu pia nitasaidia ndugu, jamaa na marafiki kwa kipato changu kuwa kizuri Mhindi akiletwa hajui chochote na mnamfundisha ninyi, baada ya mda mfupi...
  5. Vanga uvunguni

    MeTL GROUP, BAKHRESA GROUP Kampuni kubwa Tanzania zisizojali Wafanyakazi wake

    Output sifuri? Mhindi akuajiri afu output hamna then akuache uendelee kula hela yake? Sio kirahisi hivyo mkuu Hawa jamaa ni wanyonyaji kiasili, afu ni kama huwa wanajadiliana kabisa mishahqra ya kuwalipa watu Maana hata ufanye kazi kwa bidii vipi hawezi kukulipa zaid ya 20k kwa siku......wao...
  6. Vanga uvunguni

    MeTL GROUP, BAKHRESA GROUP Kampuni kubwa Tanzania zisizojali Wafanyakazi wake

    Hao "A to Z" hawafai kabisa, ni zaidi ya mashetani Kwanza unafanya kazi masaa 13 afu hurusiwi kwenda na simu kazini(utafikiri mpo shule tena boarding)...ukikutwa na simu, unakatwa laki moja kwenye mshahara wako na simu wanaichukua Kwa shida zile naamini kuna watu wa serikali wanakula nao
  7. Vanga uvunguni

    Msaada, KITAMBI changu kimegoma kutoka licha ya mazoezi makali.

    Mkuu kwani maji ya baridi yana shida gani kunywa?
  8. Vanga uvunguni

    Kwa mwanaume alie na nia ya dhati

    [emoji2] [emoji2] pole mkuu Huyu faraja Mungu anamuona, amekufanya hadi uchanganye mafaili
  9. Vanga uvunguni

    Nauza.....!!!

    Ahsante
  10. Vanga uvunguni

    Lodge nzuri jijini Mbeya

    Mwangole Lodge itakufaa zaidi mkuu utapata huduma zote muhimu hasa kwa mazingira ya baridi kama mbeya kwa viwango vya hali ya juu na kwa bei elekezi ipo uyole au mwanjelwa na zipo karibu kabisa na stand...huku mazingira yake yakiwa safi na salama. bei ni kati ya 15k hadi 25k karibu sana...
  11. Vanga uvunguni

    Huyu mdudu ana maana gani?

    Mungu anatulinda na mengi ndo unashangaa mtu una afya safi kwa mwonekano afu unaanguka ghafla, kumbe huyo mdudu aliacha sumu inakumaliza taratibu taratibu
  12. Vanga uvunguni

    Huyu mdudu ana maana gani?

    hapo ndo sijui...maana nilipata maumivu kwa mda lakini baadae nikawa normal tu labda ana long term effects
  13. Vanga uvunguni

    Huyu mdudu ana maana gani?

    nimewahi mgusa alining'ata balaaa ilitokea katua kwenye mkono, kuangalia ivi vunja chungu....katika pilika pilika za kutaka kumtoa ilitokea nilimshika vibaya sijui nilimuumiza...alining'ata hatari sikumuua wala kumpiga maana toka zamani nilikua naambiwa hapigwi yule ila sijui kwa nini huwa...
Back
Top Bottom