Mjasiri na Mali
JF-Expert Member
- Jun 24, 2017
- 5,365
- 14,182
Hukumu za kipilato wanafungwa bila hatia
umefikiri tofauti kaka sikuwa na maana hiyo.samahani sana.kaka mshana umepoteaaa
nina maana tumepotezana na ndugu yangu mshana jr
.....mayyoNinamkumbuka mzee kingunge alisema huyu alistahili kuwa mnyampala wa Barabara na si vinginevyo sasa yametimia

imetosha jamani arghhhh
Alisema wapi iyo,Ninamkumbuka mzee kingunge alisema huyu alistahili kuwa mnyampala wa Barabara na si vinginevyo sasa yametimia
mie nafurahi mnasikitika kitu gani hii nchi wanafaa kuwepo kina Sugu Lissu Mdee kama 500 hivi ili tukombolewe............ tutaogopa hawa wauwaji mpaka lini? wacha akakomae kisiasaSo sad
Duuh, hata iweje? Hizi kauli mnavozitoa mnakua mpo karibu na Magu nn?Yaani miezi mitano tu? Ilibidi mvua hata miaka mitatu imnyeshee ili atie adabu vizuri. A ubuge safari hii ndio mwisho. Hata iweje jimbo litachukuliwa ili kupunguza ujinga wao
andaeni majambia na mapanga ya kutosha ak 47 mbeya ni ya SuguYaani miezi mitano tu? Ilibidi mvua hata miaka mitatu imnyeshee ili atie adabu vizuri. A ubuge safari hii ndio mwisho. Hata iweje jimbo litachukuliwa ili kupunguza ujinga wao
hahaha upuuzi mtupuYes he has gone to a place where he will learn how to use his lips in a good manner
Upo na kiringo anazibua toi....Yaani miezi mitano tu? Ilibidi mvua hata miaka mitatu imnyeshee ili atie adabu vizuri. A ubuge safari hii ndio mwisho. Hata iweje jimbo litachukuliwa ili kupunguza ujinga wao