kuna mahali huwa nahis km mombasa ni nchi ingine na kenya ni nchi inginee
Alafu msumbiji kongo zambia na ni majirani zetu pia msikimbilie mombasa na rwanda jamani....
Dar moro s mwendo wa costa tuu... ww ongea masafa marefu km bukoba kiga Nairob Compala Mwanza Hao ndo watoto wa kiume sio hapo dar moro ukiamua unaweza enda kwa mguu...
Hivoo ni vichalii vya ngarinaroo na unga leloo..ukiona hivoo leo kulikuwa na kitu km shoo hv au tamasha hapo Shekhe amri abed ndo huwaga vinatokaga na muda wa kurudi ndo: vinafanyaga vitu km hivyoo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.