Recent content by Vanestrooy

  1. Vanestrooy

    Ningekuwa maarufu pia ningeoa Rwanda

    kuna mahali huwa nahis km mombasa ni nchi ingine na kenya ni nchi inginee Alafu msumbiji kongo zambia na ni majirani zetu pia msikimbilie mombasa na rwanda jamani....
  2. Vanestrooy

    Maajabu: Watanzania wengi hawajui oxygen ni nini?

    N nn kwan eleza hapa kwanza kabla cjamaliza Mb zangu huko youtube
  3. Vanestrooy

    TANESCO: Tunakanusha tatizo katika mfumo wa manunuzi ya LUKU

    Nmenunua umeme kwa MPESA leo helaa imekatwa umemee cjauonaa tangia sa saba mchanaa kuna tatizo ganii
  4. Vanestrooy

    Ningekuwa maarufu pia ningeoa Rwanda

    Njanjaroo ni boya badala akachukue kifaa huko mombasa...au rwandes akanganganiaa maskreper ya hapa bongo
  5. Vanestrooy

    BM Coach mmeleta changamoto kwa Abood Bus Dar mpaka Moro

    Dar moro s mwendo wa costa tuu... ww ongea masafa marefu km bukoba kiga Nairob Compala Mwanza Hao ndo watoto wa kiume sio hapo dar moro ukiamua unaweza enda kwa mguu...
  6. Vanestrooy

    Tuseme ukweli kabisa chadema tutawamiss!

    Watakuwa wameenda wapi au ndo watakuwa wameingia msituni...
  7. Vanestrooy

    OPERATION GOTHIC SERPENT: Nguvu ya Itikadi, Imani na Ushujaa uliotukuka

    Mkuu na mm nwepo kwenye list tafadhal nmekuja kuwa mlev wa hiz story zako mkuu
  8. Vanestrooy

    Waarabu,Wahindi,Wapemba,Wachaga wana siri gani katika biashara?

    Haoo ni wabaya mnoo lazima waweke mtu darini wapige pesaa..
  9. Vanestrooy

    Panya road waibukia Arusha

    Hivoo ni vichalii vya ngarinaroo na unga leloo..ukiona hivoo leo kulikuwa na kitu km shoo hv au tamasha hapo Shekhe amri abed ndo huwaga vinatokaga na muda wa kurudi ndo: vinafanyaga vitu km hivyoo
  10. Vanestrooy

    Video: Wema Sepetu akicheza wimbo wa WOWOWO live ndani ya swimming pool

    Alivyokuwa Cdm naskia Lema aligonga...
  11. Vanestrooy

    Naomba kujuzwa tofauti ya Visa na Passport

    Hata mm nna shida hiyo hack..
Back
Top Bottom