Bigirita
Platinum Member
- Feb 12, 2007
- 16,042
- 7,474
Tabata ya wapiMida hii wapo tabata kimanga, wamepora vibaya hapa, askari wamekuja wanapiga risasi hewani tu
Tabata ya wapiMida hii wapo tabata kimanga, wamepora vibaya hapa, askari wamekuja wanapiga risasi hewani tu
Kimanga mtaa wa twiga Maeneo ya Mandela juu,Tabata ya wapi
Huko mbeya kulikuwa na wakorea watu walikua wanalala saa kumi na mbiliHUYU MUHADITHIAJI YUPO ARUSHA KIKAZI NA KIRIKUU YA JOB, WANAUME WA ARUSHA TUPO KIMYA TUMESHAPAMBANA NA HAWA WAHALIFU...
Ha ha ha kwahio mgambo ndio nini? Pole sana keyboard warriorSiongei na wanywa Supu ya pweza au ngisi,
Mimi nimepitia mgambo chalii angu.
Kaa mbali
em vidhibitini visiwapande kichwaniHivoo ni vichalii vya ngarinaroo na unga leloo..ukiona hivoo leo kulikuwa na kitu km shoo hv au tamasha hapo Shekhe amri abed ndo huwaga vinatokaga na muda wa kurudi ndo: vinafanyaga vitu km hivyoo