


Hebu tuambie kwanin hawafai kuolewaNakushauri usije kuoa Rwanda. Wale sio mabinti wa kuoa.
Hahaha hahaha ungemshauri kijana mapema ile yakhe.Njanjaroo ni boya badala akachukue kifaa huko mombasa...au rwandes akanganganiaa maskreper ya hapa bongo
Wanigeria ni mamario tu,jide pale kajiweka tu kupunguza stress za yule jamaa aliekua anamkojoza kwa zaidi ya miaka 10Hamna helambona lady jay dee yuko na mnaijaaa nasisi tutaanza kuruka nje tu!
![]()