Sasa bwana beka kama karekero hui jui sinitakuwa nafundisha matusi humu? Kifupi ni aina ya ufanyaji napenzi al maarufu nchi za maziwa makuu hasa Uganda,Rwanda na kagera tz ambambo nwanaume anasugua kile kidude nakugonga kwa juu huku akiweka kichwa tu nakutoa. Ninge eleza mengi had hapo utakua ushanipataFunguka kidogo mkuu.
Bila kusahau wanyarwanda sio wachoyo katika kugawa mzigo mkuuKati ya mikoa uliyoitaja nilijichukulia wangu mmoja safi kabisa,japo anadamu ya kitz kwa mbali ila kiukweli naridhika,wanawake wa kitanzania Waziri pia ila ni wajuaji sana alafu ni waongeaji kupita kiasi,wanyarwanda yes wanamapungufu yao kama uvivu na uchafu lakini mambo mengine wako poa kabisa.
Mbona uolewi...??Sio lazima uwe maalufu.
Ila wee mbao za maweeee hii week umenikaa kweli kwenye kichwa chako anioe mm nimeshaolewaa tayariMuoe Demiss nasikia ni Mhutu.
Mkuu hatari gani hiyooMm ntaenda kwa mswati nikajibebee chuchu skonzi, chuchu Nazi, au chuchu embe sindano. Staki za nyumbani chuchu hamolapa

Wepi sasa wasiofaa Wahutu au Watusi?Nakushauri usije kuoa Rwanda. Wale sio mabinti wa kuoa.
Wahutu nikama waha tu wa tz hamna tofauti. Kitu watusi hizo shingo mzee twigaaa huyu hapa na zile pua asee nishidaWepi sasa wasiofaa Wahutu au Watusi?
Lakini naskia watusi wanakawaida wakiolewa na asie wa mtusi lazima mwanamke azae na mtusi ili mbegu isipotee, ni ya kweli hayo au hadithi za mitaani tu?Wahutu nikama waha tu wa tz hamna tofauti. Kitu watusi hizo shingo mzee twigaaa huyu hapa na zile pua asee nishida