ukimdaka demu wako na mshikaji,ukamuuliza, HUYO JAMAA NI NANI YAKO? Ukaona anajiumauma au KIMYA.Ujue huna demu hapo chako ameshachakachuliwa,
Ukiona matukio makubwa yatokea nchini, MAUAJI, WIZI WA DOWANS halafu rais yupo kimya, UJUE HUNA RAIS HAPO, kwani wezi ,matapeli rushwa imeshamchakachua...