The DOWANS saga: Kwanini KIKWETE yuko kimya?

Anatafuta wanasheria wa kimataifa waliobobea ili kukata rufaa............subiri kikwete hahusiki kwenye richard from monduli (rich mond)na dowans km wengine wanavyomsema
 
hawezi kurupuka waziri wake kakubali kulipa, mwanasheria wake kamshauri walipe..yeye ni layman hajui A wala B ya sheria, wanaharakati wamechambua mkataba na kuona the contract was void..unategemea aseme nn...yupo nija panda..
 
kapewa ujanja na Mkapa , Mkapa alinyamaza mpaka yakaisha, naye kaiga, BMW aliwahi kusema kelele za chura azizuihi chura kunywa maji, hta hivyo atajibu nini ikiwa pesa za mkuu wa nchi RA kaishazitaka, anasema zikipotea hama zangu ama za ngereja aliyemuweka akitokea Vodacom alipokuwa Mwanasheria wao, si Unajua voda ana sheha kubwa ndio maana na huu ni mtandao wa kifisadi siutumii tena
 
ukimdaka demu wako na mshikaji,ukamuuliza, HUYO JAMAA NI NANI YAKO? Ukaona anajiumauma au KIMYA.Ujue huna demu hapo chako ameshachakachuliwa,
Ukiona matukio makubwa yatokea nchini, MAUAJI, WIZI WA DOWANS halafu rais yupo kimya, UJUE HUNA RAIS HAPO, kwani wezi ,matapeli rushwa imeshamchakachua
hali inajidhihirisha wazi kwamba kuna uwezekano mkubwa kati ya wamiliki wa DOWANS ngeleja alisahau kwa makusudi kuorodhesha jina la mkwere miongoni mwa wamiliki
 
lisemwalo lipo na kama halipo laja,ngoja tuone,kwani kinacho nishangaza ni Rostam kutajwa kwa herufi kubwa ktk hili na ni mtanzania ambae anakubali na kuona mabilioni ya pesa zetu zikipotea,
inaumaaaaa ila kila jambo lina mwisho wake,ipo siku tu

mapinduziiiii daimaaaa:ban:
 
Sintamtambua Jakaya Kikwete kama rais wangu maana ni mteule wa NEC.
....Pamoja na kansa ya uongozi wa CCM watu wataendelea kukichagua,au watu wanaweza wakachoka na kusema potelea mbali wakachagua chama KINGINE....Julius. Kambarage. NYERERE"


''Good quote Keep it up body''
 
Nimekumbuka kauli ya Slaa ambayo iliwafanya wakimbie kutaja majina feki ya wamiliki wa Dowans
 
Ndugu wana JF
Napenda kuleta thread hii kwenu ili tuweze kuichambuwa na kujua nafasi ya Raisi wa Tanzania katika sakata la Dowans
kwani tangu imetolewa hukumu ya tanzania kutakiwa kuilipa kampuni tata ya dowans mamilioni ya shilingi hatuja msikia Raisi ama hata waandishi wake kulizungumzia swala hili zaidi ya wanaharakati na baadhi ya wasomi kukemea na kutokukubaliana na ulipaji wa pesa hizo
imefikia wakati baadhi ya wanaharakati wamemtaka Rais Jakaya Kikwete kuvunja ukimya na kuzungumzia suala hili.
Na inasemekana Nchi inayumbishwa na kikundi cha watu wachache, waroho wa madaraka, wabinafsi, wasiojali maslahi ya taifa na ambao wanajiita ni Watanzania (Gazeti mwananchi).

Swali linaloniumiza hapa ni kuwa UKIMYA WA RAISI WA TANZANIA JUU YA SAKATA LA DOWANS UNAMAANISHA NINI? Je amekubaliana na hicho kikundi cha watu wachache wanao yumbisha nchi? ama amekubaliana na ulipaji wa mabilioni ya pesa kwa Dowans, ama anatafakari jinsi ya kupambana na hili sakata?

karibuni Great thinkers
MSEMA UKWELIIIIIII HAPENDWIIII DAIMAAAAAAA

Mapinduziiii daimaaaaaaa:A S 27:
Anazungumza kupitia waziri wa Nishati + AG
 
Anaogopa watu walivyokomalia hii ishu asije akasema kitu atakachojutia so atakua anajipanga!
 
Silence means...................yes, am one of them!
There is no other way to explain his silence
He is scared he might say something that he will live to regret!
 
.....hizo pesa zinamgusa kwani lile "genge la vigogo wachache" aliloliongelea Muheshimiwa spika mstaafu linamuhusu pia mkwere!
 
Ni muda mrefu umepita tangu hii tatizo la Dowans kuwepo hapa nchini. Na inaelekea tunaenda kulipa pesa nyingi sana ambazo ni mali ya walala hoi. Wewe kama Rais wa nchi maskini ambayo wewe hujui umasikini wetu unatokana na nini? Uko wapi kuongelea jambo hili ambalo linaelekea kuiweka nchi yako masikini katika umasikini zaidi? Wewe kama mkuu wa nchi unasemaje? Tumabie basi msimamo wako na Serikali yako, wewe kama mkuu wa nchi na si kusikia kwa viongozi wako ambao wako chini yako? Unajisikiaje kuona mawaziri ambao wewe ni boss wao kuingilia jambo hili na kuomba chochote kifanyike ili tusilipe pesa hizi?

Tunaomba msimamo wako Please
 
Ni muda mrefu umepita tangu hii tatizo la Dowans kuwepo hapa nchini. Na inaelekea tunaenda kulipa pesa nyingi sana ambazo ni mali ya walala hoi. Wewe kama Rais wa nchi maskini ambayo wewe hujui umasikini wetu unatokana na nini? Uko wapi kuongelea jambo hili ambalo linaelekea kuiweka nchi yako masikini katika umasikini zaidi? Wewe kama mkuu wa nchi unasemaje? Tumabie basi msimamo wako na Serikali yako, wewe kama mkuu wa nchi na si kusikia kwa viongozi wako ambao wako chini yako? Unajisikiaje kuona mawaziri ambao wewe ni boss wao kuingilia jambo hili na kuomba chochote kifanyike ili tusilipe pesa hizi?

Tunaomba msimamo wako Please

Ukiona umeula, ujue umeliwa.

nyie si mliona raha kunibania urais 1995?

tulieni. niwale.
 
Back
Top Bottom