ata mim nlikua mtahiniwa wa mwaka 2008 kwa comby ya ECA yan huo mwaka ndio nliamin kuna homa ya mtihan mana kuna jamaa yetu alilowa nguo nzima wkt tunafanya pepa ya Acc pepa 1
maamuzi ni yako either uandike barua moja ya kazi ambayo unajua uko vzuri zaid au uandike barua za kaz zote mbili kama zinaendana na ulichosomea
Sent using Jamii Forums for iPad.
bado atakua anajiandaa mana angekua ametindua bas angekua amejifunika taulo pia konfom na kilainish juu ya stuli vingekua vishatumika
Sent using Jamii Forums mobile app
Habari zenu humu ndani, naomba msaada kwa anaejua tuition fees kwa course za Masters hasa ya MBA pale Open University of Tanzania mana nmehangaika kugoogle nmeshindwa. Samahan kwa kuingiza topic tofaut na mada husika.
Habari zenu humu ndani, naomba msaada kwa anaejua tuition fees kwa course za Masters hasa ya MBA pale Open University of Tanzania mana nmehangaika kugoogle nmeshindwa. Asanten sana
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.