Mimi ni binti wa miaka 20.
Nina mpenzi wangu wa miezi nane. Yeye ni bikra lakini mimi sio. Sasa inaleta shida nilipomwambia nimesha sex mara Sita na wanaume watatu tofauti.
Basi ni manyanyaso anatishia kuniacha.
Kaka na dada zangu naomben ushauri.
Mimi nampenda kweli na yeye anasema...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.