Kati ya wanasiasa wanaowania urais nchini Tanzania, Edward Lowassa anaonekana kuwa na umashuhuri wa hali ya juu. Huu ni ukweli bila kujali kama unamkubali ama lah.
Wapo wanaoamin Lowassa si maarufu kama anavyoonekana, yaani he is overrated. Pia wapo wale wanaoamini kuwa kweli ana nguvu na...
Kama muda wa kunadi sera zake kama mgombea anahangaika na hoja za watu na kujaribu kupunguza umaarufu wa mwenzie tayari kwangu mimi hafai. Siku akiwa raidi ataacha kuangalia mahitaji yetu wananchi na kukimbilia kuwasema maraisi wa nchi jirani. Kwanza ubenge wenyewe alipewa tu...mi namwona hana...
tindikalikali
Ndugu unatafuta mke au business partner? anyway.
Moja, kama elimu yake ni STD 7 kuna uwezekano mkubwa kuwa it is not her fault, mazingira yalilazimisha yeye kukosa nafasi ya kusoma. Hivyo you can't punish someone for that.
Mbili, kama kila kitu kipo sawa kasoro elimu..na bado...
Naamini zawadi/msaada/utendaji wowote wa kiongozi unapotolewa mwaka wa uchaguzi ni wa kutilia shaka. Naungana na Mh Samuel Sitta aliesema huu ndio msimu wa 'kujipitisha kwa wananchi'. TUJIPIME
Katika moja ya vikao vya juu vya Chama Cha Mapinduzi mjini Dodoma, Mwenyekiti wa CCM na Rais wa JMT Mh Jakaya Kikwete alitoa kauli iliyozusha majadiliano mengi kwa watu mbalimbali juu ya hatma ya mgombea wa urais kupitia chama hicho.
Pamoja na hotuba iliyojaa maneno mazito, nieleze mtazamo...
Lakini nadhani ni bora kama wangekuwa na portfolio websites, au kama kuna collective libraries, maana ni documentation nzuri. Also biashara ni matangazo, watu wakiona ulizopiga ni rahisi hata kukupa kazi.
Imakaa kama story vile, ila kama kweli.
Mrudishie pesa zake
Don't touch her na pia don't say a word...maana hata wewe sio innocent...kifupi funika kombe........
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.