Huko mbele tutajieleza kwa nini tunasikiliza ujumbe mzuri kama huu halafu tunaacha upite tu masikioni bila ya kuutendea haki.
Hakika tutalipa tena ghali sana!
Kwa nini hotuba ya mwaka 1985 ya kuwaaga wazee wa Dar es Salaam pale Diamond Jubilee inafichwa. Hiyo ndiyo hotuba bora ya Mwalimu Julius Kambarage Nyerere.
Mkuu najaribu kuitafuta mara ya mwisho nilisikia vipande vipande RTD.Tuwekee kama unayo mkuu
Kwa nini hotuba ya mwaka 1985 ya kuwaaga wazee wa Dar es Salaam pale Diamond Jubilee inafichwa. Hiyo ndiyo hotuba bora ya Mwalimu Julius Kambarage Nyerere.
Siyo hiyo mkuu, ya mwaka 1985 anawaaga Watanzania anang'atuka anamuachia nchi Mwinyi.Ndio ile ya IKULU kuna biashara gani tuwekee mkuu
Hatari ya kufarakana baada ya NyerereSiyo hiyo mkuu, ya mwaka 1985 anawaaga Watanzania anang'atuka anamuachia nchi Mwinyi.
Kama anakubali yeye alivurunda basi anapoteza haki ya kuwa mkufunzi, lecturer, mkosoaji wa mambo ambayo yeye yalimshinda, anafundisha ambayo hakuweza kuya practice. Siasa hizo ni unafik.
Sasa anamkosoa nani kama yeye yalimshinda haya ya kujitegemea? Hakuwa mkweli hata kidogo.
Kwa nini hotuba ya mwaka 1985 ya kuwaaga wazee wa Dar es Salaam pale Diamond Jubilee inafichwa. Hiyo ndiyo hotuba bora ya Mwalimu Julius Kambarage Nyerere.
Kwa nini hotuba ya mwaka 1985 ya kuwaaga wazee wa Dar es Salaam pale Diamond Jubilee inafichwa. Hiyo ndiyo hotuba bora ya Mwalimu Julius Kambarage Nyerere.
Tazama clip kwa umakini sana, kinachosikitisha ni miaka 20 sasa na hali inazidi kuwa mbaya.
Je ni kweli waTanzania hususani vijana tumekuwa wapumbavu kiasi cha kushindwa kujua mambo muhimu ya msingi ya nchi hii mbadala na majina ya watu waliotangaza nia ya uraisi wa awamu ya tano?
Tunashindwaje kuwauliza maswali magumu au kuwachuja kutokana na vitendo vyao walivyofanya kwenye historia za uongozi wao?
Ushabiki wa nyama tuweke pembeni tutachangie kama waTanzania wenye uzalendo wa kweli na taifa hili