Kwa kuwa wewe walikuvumilia huko Tanga. Ukaamua kutoka moyoni usimfukuze basi kaa naye hata kama wenzako wakitaka muondoke ondoka naye mkaishi. Huo ndiyo upendo wa kweli
Eti furaha ya Yanga ni kuona Niyonzima hachezi Tanzania. Muaeche achague atacheza wapi? Akirudi kwenu Simba haina shida, akija Simba Yanga tumewapa ubovu. Shida iko wapi! Ni haki yenu kuwa na wivu maana ninyi ni wa hivyo hivyo. Chukua Ajib, Okwi ndani ya nyumba. Bocco haramu anasubiri maangamizi
Tatizo lipo. Tatizo mnaweweseka sana. Niyonzima hajatangazwa Simba wala Yanga mnaanza kejeli kwa viongozi. Simba haina tatizo la viungo hata kama wataondoka wengine wataingia. Falsafa ya Simba ni kumiliki mpira. Kiungo ndiyo nguzo ya timu. Hata Kazimoto anawatoa jasho
Sentensi ya kwanza ni sahihi bila mashaka yoyote. Sentensi hii "I was not informed" ni passive voice. Muundo wake ni : Direct object- I, + Auxiliary verb-was+ Past Participle- informed. Not- negativity. Kwa sentensi ya pili , ni makosa makubwa kutumia kitenzi kisaidizi(primary auxiliary verb) ni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.