hiyo shisha iko kwenye chupa au hebu tuwekee picha yake tuioneShisha ni hatari kuliko sigara,na hivyo wanatia viroba na gongo badala ya maji baridi ni hatari zaidi, inashangaza eti mtu anauliza;
"Hivi ni idadi gani ya wananchi wanaotumia hili shisha mpaka lilete madhara kwa nguvu kazi?"
Kwa hiyo mlitaka serikali isubiri kwanza mpaka Shisha lisambae nchi nzima na kudhuru idadi kubwa ya watu ndipo serikali iingilie kati?
Ni vizuri kulikabili tatizo kabla halijakua.