Recent content by uwepo

  1. uwepo

    Biashara kukodisha magari Mbeya na taxi

    ukija mbeya please naomba nicheki ila naomba mawasiliano yako pia
  2. uwepo

    Biashara kukodisha magari Mbeya na taxi

    mkuu mara nyingi hayo makapuni yakifika mnapenda sana kutumia gari za aina ipi ili tuchungulie fursa vizuri
  3. uwepo

    Retrenchment

    hizi huwa mfanyakazi na kampuni wanakaa mezani kumaliza uhusiano wa ajira kwa maridhiano mfano mkataba unaweza kuwa umebakia miezi 9 ila kuna namna kampuni inakuwa haikuhitaji ila sasa kusema moja kwa moja wanakuwa hawana sababu za wazi hivyo wanakuita mumalizane sasa nini kinajadiliwa hapo...
  4. uwepo

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    kuweni makini na hiyo kampuni wababaishaji sana inaitwa gobet walinipa bonus ya 85k baada ya kuweka 85k basi nikacheza nikawapasua 900k wakasema ohoo huwezi toa mpaka iyo bonus tuliyokupa iwe mara 40 yani 85k plus 85k inakuwa 170k ili utoe zidisha mara 20 maana yake ni 3.4m nkasema mbona hamna...
  5. uwepo

    Retrenchment

    Nashukuru huu mjadala nimeuwahi ebu twende haraka haraka hapa tutatumia sheria mbili moja ELA (Employment and labour relation act 2004) kiswahili chake ni sheria ya ajira na mahusiano kazini ya mwaka 2004 na ile tunaita code of good practice 2007 kingereza na kiswahili tunaita kanuni za utendaji...
  6. uwepo

    Demu wangu anataka kutoa mimba.

    Haaaaa kama unakunywa balimi agiza ntalipa japo icho kinge ukiwa una njaa na hii january hata sio kizuri
  7. uwepo

    Demu wangu anataka kutoa mimba.

    A FOR .................................APPLE B FOR................................... BAPPLE C FOR ....................................CAPPLE D FOR .........................................DAPPLE E FOR ............................................EPPLE F...
  8. uwepo

    Kweli kua uyaone; Nimeamini ndoa ni kitu kigumu sana

    Mahusiano mengi yanadumu kwakuwa wanaume tunavumilia mateso na manyanyaso kuombwa pesa ya brazilian hair na uwezo huo huna kulipishwa kodi ya nyumba ikiwa ndugu zako kijijini hata sukari hawana kusomesha mwanamke wakat una ndugu zako wengi tu hata veta hawajaenda Kiufupi wanawake wanatupa...
  9. uwepo

    Ukikuta texts zake anatukana na alivyo ni tofauti. Ila ukija tena kutukuta utatushangaa...Sijui inakuaje hii

    Ukiona mahusiano yanadumu anayeteseka na kuvumilia ni mwanaume
  10. uwepo

    Wanaume tuna kazi sana, huyu mwenzetu aliwekwa kweye chupa na kutupwa baharini

    Ndio maana mjomba wa rafiki yangu kasoma Havard bwana bwana yani kama kasoma zoom college haya mambo hatari ndugu wakigusa kwawe unaulizwa lini unarudi na nauli ya kurudi uwe nayo huyo mke wake ukimbishia tu utaumwa nusu uwe chizi
  11. uwepo

    Wenzetu mliepuka vipi Kikombe cha UJOBLESS ?

    Naomba niwakilishe mchango wa mawazo husika kama fuatavyo, kwa sasa wahitimu wengi inatakiwa tujikite sana kwenye TRAINING mbalimbali kutoka consultancy companies za field tofauti tofauti hii itawezesha uwe na sifa za ziada za kutofautisha na wahitimu wengi ntachambua kwa upande wa business...
  12. uwepo

    Fahamu kwanini Wasomi wengi hukosa ajira

    Naomba niwakilishe mchango wa mawazo husika kama fuatavyo, kwa sasa wahitimu wengi inatakiwa tujikite sana kwenye TRAINING mbalimbali kutoka consultancy companies za field tofauti tofauti hii itawezesha uwe na sifa za ziada za kutofautisha na wahitimu wengi ntachambua kwa upande wa business...
  13. uwepo

    Nina stress sana, ushauri unahitajika

    wanawake wajanja sana yn kila anachofanya huwa kina maana yake unaweza mkuta na mwanaume akasema cousin hapo anakujibu ya moyoni kabisa ila wewe unajipa imani ni mimba tu mim nilikuwa n dem jeur anasingizia ana majin jamaa angu akanitonya huyo dem ndo alivyo piga chini huyo dem pigaaaaa chini...
Back
Top Bottom