Kinachotuma wana Tandahimba ni ufisadi wanaofanya watendaji wa Tanecu au nyie hamuuoni?
Mimi nina uhakika Rais hajui madudu ya Tanecu,, watendaji wanasajili kampuni wanajiombea kazi na wanajipa wenyewe wakati kampuni za wazawa zipo na zimeomba na wana sifa zakufanya kazi alafu nyinyi mnadai...
Na wametoa rushwa kwa wajumbe ili kampuni ya Mkata ambayo kiukweli wana maslahi nayo ishinde ghala la Tandahimba yani Tanecu inanuka rushwa vibaya mno.
Umenena vema kabisa na hii leo ndio wanakalia Tenda ya maghala huko Newala,, na habari za uhakika kabisa watendaji wa Tanecu wamesajili kampuni yao kwa mgongo wa mtu anaeitwa Mkata tena huyo Mkata mwenyewe anaumwa yuko hosptal kwa mda mrefu,,
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.