Recent content by Uvahi

  1. U

    Lembeli apinga matokeo Mahakamani

    Siasa mchezo mchafu
  2. U

    Hawa Ghasia-kitu usichokijua ni sawa na usiku wa giza

    Kashaanza kugawa baiskeli
  3. U

    Prizenta huyu, Kijah Yunus wa Clouds TV, kipindi cha 360, nashindwa kumuelewa

    Aligombeaga viti maalumu Mkoa wa Lindi akapigwa chini
  4. U

    Unapokuwa mwanasiasa, jaribu kuwa mwangalifu kwenye mahusiano

    Awe km mnyika, hatujui anatoka na nani?
  5. U

    Rais Kikwete ni kweli umepewa Rushwa na TANECU?

    Hili la Tanecu mimi nitalibeba mpaka kwa Rais wa Nchi najua yeye hajui haya madudu na hawezi kufumbia macho.
  6. U

    Rais Kikwete ni kweli umepewa Rushwa na TANECU?

    Kinachotuma wana Tandahimba ni ufisadi wanaofanya watendaji wa Tanecu au nyie hamuuoni? Mimi nina uhakika Rais hajui madudu ya Tanecu,, watendaji wanasajili kampuni wanajiombea kazi na wanajipa wenyewe wakati kampuni za wazawa zipo na zimeomba na wana sifa zakufanya kazi alafu nyinyi mnadai...
  7. U

    Rais Kikwete ni kweli umepewa Rushwa na TANECU?

    Waziri mkuu anajua maana walishamuendea dodoma kujiliza na uchaguzi umesitishwa kuna nini??
  8. U

    Rais Kikwete ni kweli umepewa Rushwa na TANECU?

    Na wametoa rushwa kwa wajumbe ili kampuni ya Mkata ambayo kiukweli wana maslahi nayo ishinde ghala la Tandahimba yani Tanecu inanuka rushwa vibaya mno.
  9. U

    Rais Kikwete ni kweli umepewa Rushwa na TANECU?

    Umenena vema kabisa na hii leo ndio wanakalia Tenda ya maghala huko Newala,, na habari za uhakika kabisa watendaji wa Tanecu wamesajili kampuni yao kwa mgongo wa mtu anaeitwa Mkata tena huyo Mkata mwenyewe anaumwa yuko hosptal kwa mda mrefu,,
  10. U

    Ni vibaya kufall in love?

    Nitamwambia ukweli km ananitesa usingizi sipati kwa ajili yake
  11. U

    Ni vibaya kufall in love?

    Mwenzenu nimekufa kwa mh. kijana ipo siku nitampigia no yake ninayo
Back
Top Bottom