Lembeli apinga matokeo Mahakamani

Lembeli apinga matokeo Mahakamani

Teh Teh huyu alidhani ile fimbo yake ya kishirikina itampa ubunge! Kamwe hatoweza kushinda..
 
inawezekana maeneo mengi sana kanda ya ziwa ccm walichakachua kwenye ubunge...
 
Lembeli ninadhani anataka kutafuta huruma za wananchi, maana alikuwa kimya sana, alafu ninavyowafahamu wasukuma wa kahama wao wengi ccm sio mtu, wengi hawajui kusoma na kuandika na hili utalishuhudia ukitoka klm kadhaa tu kutoka kahama. Pia madiwani woote ccm isipokuwa mmoja picha inaonyesha uhalisia. Japo yawezekana fitna pia ilikuwepo.

Kwa kahama lembeli ni assert kishimba ni liability.
 
Anamsubua bure kishimba na alipotangaza kuwa alishidwa kiharali alikuwa amechanganyikiwa?
 
Lembeni alibebwa kwenye kiti na manyumbu,haamini kama kashindwa

Nyumbu ni ccm ambao miaka 54 Nchi haina maendeleo lakini bado wanaishi kwa matumaini kuwa ipo siku mungu atatenda muujiza.
 
Lembeli ninadhani anataka kutafuta huruma za wananchi, maana alikuwa kimya sana, alafu ninavyowafahamu wasukuma wa kahama wao wengi ccm sio mtu, wengi hawajui kusoma na kuandika na hili utalishuhudia ukitoka klm kadhaa tu kutoka kahama. Pia madiwani woote ccm isipokuwa mmoja picha inaonyesha uhalisia. Japo yawezekana fitna pia ilikuwepo.

Kwa kahama lembeli ni assert kishimba ni liability.

Kishimba alitumia Goli la mkono Ushindi wake si wa haki kabsa.
 
Kishimba alitumia Goli la mkono Ushindi wake si wa haki kabsa.

Mkuu lembeli si mwehu , amekwenda court akiwa na uhakika wa kilichofanyika , kuna kitu wadau hawakijui .
 
Mzee naona nyeti za kuku zimeachwa wazi baada ya upepo mkali wa JPM kupuliza..
 
kishimba alitumia goli la mkono ushindi wake si wa haki kabsa.

lipi mkuu ukieleza vizuri utarahisha mambo. Binafsi sikupenda matokeo ya lembeli kushindwa lkn hajashidwa mbunge tu, na madiwani wote isipokuwa diwani mmoja na yeye kutokana na eneo alipo watu wengi walitoka mgodini.
 
lipi mkuu ukieleza vizuri utarahisha mambo. Binafsi sikupenda matokeo ya lembeli kushindwa lkn hajashidwa mbunge tu, na madiwani wote isipokuwa diwani mmoja na yeye kutokana na eneo alipo watu wengi walitoka mgodini.
Hata madiwani wengi wa ccm wametumia goli la mkono , umefuatilia matokeo ya jimbo la ukerewe ?
 
Nasikia sauti ya Lubuva na Jecha wakitamka matokeo ya urais,Hashimu Rungwe Spunda kura 30 sawa na asilimia sifuri nukta sifuri 1,Mimi jecha salim jecha natangaza kufuta matokeo ya ushea,uwakilishi na urais wa Zanzibar.
 
Nasikia sauti ya Lubuva na Jecha wakitamka matokeo ya urais,Hashimu Rungwe Spunda kura 30 sawa na asilimia sifuri nukta sifuri 1,Mimi jecha salim jecha natangaza kufuta matokeo ya ushea,uwakilishi na urais wa Zanzibar.
Jecha katia aibu ambayo haijawahi kutokea tangu Mungu aiumbe zanzibar .
 
Hivi ikitokea lembeli akashinda kesi na lisu kama naye kapingwa mahakamani akashindwa nani watakuwa wamepata hasara.

Naona mahakama mwaka huu ikibarance kesi kama lefa wa Mpiira wa soka.

Aliyefungua kesi kumpinga lissu hela zinamuwasha awaulize wenzake hawana hamu na mwanasheria nguli kama asemavyo Anna Makinda.
 
Back
Top Bottom