Ndugu zake wakae kikao wajue namna ya kumsaidia huyo mgonjwa, rafiki yako ni mbinafsi, kwanza kabisa umemkaribisha kwenye mpango wa utafutaji sahivi anakushawishi mtumie mtaji kwa ajili ya baba ake kwani hana ndugu wengine?! Mpe mchango kidogo asiposhukuru mkimbie mana kuna watu wengine wapo...
Habari Paula Paul...hiki kitabu nilikichukua lakini nilipokifungua kilikuwa hakina chochote ndani, naomba ututumie tena nasi tupate kukisoma
Natanguliza shukrani.
Kichefuchefu kipo Manispaa ya Kinondoni aisee, unaenda unahitaji kushughulikiwa jambo lako kupata jibu mtu hadi amalizie kutuma emoj kwanza...[emoji706]
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.