bolivia
JF-Expert Member
- Mar 3, 2021
- 2,855
- 4,552
Nisiwachoshe, msinichoshe.
Habari wadau leo tuanze na hii tabia ya Baadhi ya wafanyazi au taasisi mbali mbali. Kutembea na identification Card (id) zinazowatambulisha kama wafanyakazI sehemU flani.
Hii ni tabia ambayo tayari mmeanza kuwaambukiza na wanafunzi wa vyuoni. Nani asiye fanya kazi hapa mjini?
Unakuta mtu na ID yake mpaka mtaani. Bora wale wenzangu na mimi tunaning'iniza kwenye gari pale juu. Acheni mara moja, ni ushamba. Kuna ulazima gani? Mtu ajue upo sehemu fulani kikazi?
Tena ni msomi kabisa wasomi" aisee hopeless uncivilised graduates.
Acheni ushamba wa kijijini.
Habari wadau leo tuanze na hii tabia ya Baadhi ya wafanyazi au taasisi mbali mbali. Kutembea na identification Card (id) zinazowatambulisha kama wafanyakazI sehemU flani.
Hii ni tabia ambayo tayari mmeanza kuwaambukiza na wanafunzi wa vyuoni. Nani asiye fanya kazi hapa mjini?
Unakuta mtu na ID yake mpaka mtaani. Bora wale wenzangu na mimi tunaning'iniza kwenye gari pale juu. Acheni mara moja, ni ushamba. Kuna ulazima gani? Mtu ajue upo sehemu fulani kikazi?
Tena ni msomi kabisa wasomi" aisee hopeless uncivilised graduates.
Acheni ushamba wa kijijini.